Mbona mapema sana ? Baada ya Zelensky kukataa kusaini mkataba wa madini Marekani na kutimkia ulaya, kabadili msimamo yupo tayari kusaini,

Mbona mapema sana ? Baada ya Zelensky kukataa kusaini mkataba wa madini Marekani na kutimkia ulaya, kabadili msimamo yupo tayari kusaini,

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145


Siku chache zilizopita Zelensky alitrend kweny vichwa vya habari kwa kukataa kusaini mkataba huku baadhi ya vyombo vikimsifu ni shupavu, hodari, Hero, n.k.

Zelensky alidhani kwamba baada ya kukimbia Marekani na kuelekea Ulaya angeliweza kupata msaada mkubwa zaidi, Lakini alijikuta na mshangao baada ya kupewa mkopo badala ya kupewa msaada, halafu kiasi alichopewa ni dola bilioni 2 tu wakati Marekani ilikuwa inampa mafungu ya dola bilioni 10

Kwa namna Rais wa Marekani alivyo ajipange kisaikolojia, masharti yanaweza kubadilishwa ili kumfunza somo, Tatizo la Zelensky anatafuta win win situation, hilo jambo asahau mbele ya Trump

 
Siku chache zilizopita Zelensky alitrend kweny vichwa vya habari kwa kukataa kusaini mkataba huku aadhi ya vyombo vikimsifu ni shupavu, hodari, Hero, n.k.

Akaenda ulaya walikomambia watamsaidi, Kasheeha inaanza Kafika huko kiasi wanachotaka kumsaidia ni Dola bilioni 2 na ni MKOPO sio kama misaada mikubwa zaidi aliyozoea kutoka marekani,

Leo hii 3 - 2 - 2025 Zelensky kasema yupo tayari kusaini mkataba, kwanini asibaki huko alikoenda ?
Habari tuliitegemea ila huja leta source yake mkuu,
 
View attachment 3257642

Siku chache zilizopita Zelensky alitrend kweny vichwa vya habari kwa kukataa kusaini mkataba huku baadhi ya vyombo vikimsifu ni shupavu, hodari, Hero, n.k.

Zelensky alidhani kwamba baada ya kukimbia Marekani na kuelekea Ulaya angeliweza kupata msaada mkubwa zaidi, Lakini alijikuta na mshangao baada ya kupewa mkopo badala ya kupewa msaada, halafu kiasi alichopewa ni dola bilioni 2 tu wakati Marekani ilikuwa inampa mafungu ya dola bilioni 10

Kwa namna Rais wa Marekani alivyo ajipange kisaikolojia, masharti yanaweza kubadilishwa ili kumfunza somo, Tatizo la Zelensky anatafuta win win situation, hilo jambo asahau mbele ya Trump

unashabikia ukoloni ? sijakuelewa
 
View attachment 3257642

Siku chache zilizopita Zelensky alitrend kweny vichwa vya habari kwa kukataa kusaini mkataba huku baadhi ya vyombo vikimsifu ni shupavu, hodari, Hero, n.k.

Zelensky alidhani kwamba baada ya kukimbia Marekani na kuelekea Ulaya angeliweza kupata msaada mkubwa zaidi, Lakini alijikuta na mshangao baada ya kupewa mkopo badala ya kupewa msaada, halafu kiasi alichopewa ni dola bilioni 2 tu wakati Marekani ilikuwa inampa mafungu ya dola bilioni 10

Kwa namna Rais wa Marekani alivyo ajipange kisaikolojia, masharti yanaweza kubadilishwa ili kumfunza somo, Tatizo la Zelensky anatafuta win win situation, hilo jambo asahau mbele ya Trump

Jitahidi ujifunze International Diplomacy. Hutahangaika na hivi vipost uchwara.

Nikusaidie kidogo; hakuna mahali Zele amekataa kusaini mkataba huo wa madini. Kilichomfanya kughairi siku ile kwenye Oval Office ni ujinga wa Trump na JD Vance kuamini atasaini tu Hana namna. Na yeye akawaonesha anaweza akagoma akasini baadae na ndio maana alipofika London alipoulizwa maoni yake kuhusu Trump alojibu, "F....k him" na Waingereza wakamshangilia!

International Diplomacy is very interesting if you know it!
 
View attachment 3257642

Siku chache zilizopita Zelensky alitrend kweny vichwa vya habari kwa kukataa kusaini mkataba huku baadhi ya vyombo vikimsifu ni shupavu, hodari, Hero, n.k.

Zelensky alidhani kwamba baada ya kukimbia Marekani na kuelekea Ulaya angeliweza kupata msaada mkubwa zaidi, Lakini alijikuta na mshangao baada ya kupewa mkopo badala ya kupewa msaada, halafu kiasi alichopewa ni dola bilioni 2 tu wakati Marekani ilikuwa inampa mafungu ya dola bilioni 10

Kwa namna Rais wa Marekani alivyo ajipange kisaikolojia, masharti yanaweza kubadilishwa ili kumfunza somo, Tatizo la Zelensky anatafuta win win situation, hilo jambo asahau mbele ya Trump

Amekubali kwa sababu EU wameingilia na kuweka masharti ambayo Russia anatakiwa kufuata ili kumaliza vita.
 
Jitahidi ujifunze International Diplomacy. Hutahangaika na hivi vipost uchwara.

Nikusaidie kidogo; hakuna mahali Zele amekataa kusaini mkataba huo wa madini. Kilichomfanya kughairi siku ile kwenye Oval Office ni ujinga wa Trump na JD Vance kuamini atasaini tu Hana namna. Na yeye akawaonesha anaweza akagoma akasini baadae na ndio maana alipofika London alipoulizwa maoni yake kuhusu Trump alojibu, "F....k him" na Waingereza wakamshangilia!

International Diplomacy is very interesting if you know it!
Hivi kukataa kusaini na kugoma kusaini kuna tofauti au mimi ndo sijaelewa?
 
Back
Top Bottom