Mbona mchezaji wenu wa zamani Kennedy Juma kawapa goli hatulalamiki mnalalamikia Kagere kukosa penati

Mbona mchezaji wenu wa zamani Kennedy Juma kawapa goli hatulalamiki mnalalamikia Kagere kukosa penati

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Meddy Kagere upigaji wake wa penati ni wa kishamba sana, hajaanza kupiga penati za hovyo leo, hata alipokuwa Simba alikuwa akipiga penati kimasihara.

Ila nna wasiwasi sana pale Singida kuna mastriker 2 anagombania nao namba, lakini simlaumu hata sisi Kennedy Juma mchezaji wa zamani wa Singida kawapa goli walima alizeti hao na kutufanya tuhangaike mwanzo mwisho, mnamlaumu Kagere tu mbona Kennedy hamlaumu.
 
MAN OF THE MATCH
 
Back
Top Bottom