Mbona meno ya Diamond yanaoza, amepatwa na tatizo gani?

Baada ya kutoka kwa daktari.
Mzungu :thank you doctor.

Mbongo :naweza kunywa pombe!!..
 
Dogo acha ushamba,grill hizo hata mimi ninazo
u
 
Ushamba utaisha lini tz [emoji23][emoji23][emoji23] msanii kuweka golden slug anaonekana meno yameoza [emoji23][emoji23][emoji23] this is only in tz


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…