Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,592
- 2,381
Nisiwe mnafiki kabisa yani bado sijaipata hiyo furaha ya taifa star kushinda mechi dhidi ya Uganda jana! Wenzangu kipi kimekufurahisha sana juu ya wao kushinda kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu ni hz zifuatazo
1 ; Yule shoga aliyejipa uenyekiti wa kamati ya ushindi atajiona ndo kafanikisha hili kumbe ni mungu katukumbuka baada ya muda meefu
2; Dictator uchwara kajiona kama kuna juhudi fulani hvi kazileta
3;Ni ugumu wa maisha
4; Inawezekana ni katabia tu kakorosho, mara nyingi kanaisha baada ya kujifungua
5; Ukosefu wa elimu bora
6; Ukabila, inawezekana imekuuma kwa kuwa kikosi kizima hakikuwa na Msukuma
N:B ......Tuandae timu mapema, mziki wa AFCON c wa kitoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamfanga kibudu unafurahi!Nisiwe mnafiki kabisa yani bado sijaipata hiyo furaha ya taifa star kushinda mechi dhidi ya Uganda jana! Wenzangu kipi kimekufurahisha sana juu ya wao kushinda kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha watz wameshasahau nusu bei[emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Nisiwe mnafiki kabisa yani bado sijaipata hiyo furaha ya taifa star kushinda mechi dhidi ya Uganda jana! Wenzangu kipi kimekufurahisha sana juu ya wao kushinda kwao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna uwezekano "tumenunua" mechi? Maana halikuwa mechi muhimu kwa Cranes?Nisiwe mnafiki kabisa yani bado sijaipata hiyo furaha ya taifa star kushinda mechi dhidi ya Uganda jana! Wenzangu kipi kimekufurahisha sana juu ya wao kushinda kwao
Sent using Jamii Forums mobile app