Mbona miradi ya serikali kama vile wakandarasi wamekimbia kazi?

Mbona miradi ya serikali kama vile wakandarasi wamekimbia kazi?

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Miradi mingi ya Serikali hasa za barabara imesimama na Wakandarasi wengi wamekimbia kutoka kwenye maeneo ya kazi. Mfano hai hapa Mwanza kuna miradi inayotekelezwa JASCO ya barabara za lami. Huyu Mkandarasi amekimbia kazi. Ninauliza tatizo ni nini?. Inawekana malipo yamechelewa. Mbona hali hii haikuwepo wakati wa Awamu ya Tano?.

Hayati Magufuli tutakukumbuka kwa utawala wako ambao kila sekta ilitekeleza wajibu wake kwa weledi mkubwa. Pumzika kwa amani.
 
Miradi mingi ya Serikali hasa za barabara imesimama na Wakandarasi wengi wamekimbia kutoka kwenye maeneo ya kazi. Mfano hai hapa Mwanza kuna miradi inayotekelezwa JASCO ya barabara za lami. Huyu Mkandarasi amekimbia kazi. Ninauliza tatizo ni nini?. Inawekana malipo yamechelewa. Mbona hali hii haikuwepo wakati wa Awamu ya Tano?. Hayati Magufuli tutakukumbuka kwa utawala wako ambao kila sekta ilitekeleza wajibu wake kwa weledi mkubwa. Pumzika kwa amani.
Malipo malipo malipo
 
Hasara inayopatikana hapa kwa mwaka inaaweza kufika hata Trillion 5, anaebisha aje hapa Kamata sasa hivi tupige wote hesabu

Kwani pesa tunazokopa ni za kazi gani?! Zinaenda wapi?!
 
Watu wa Dar bhana, kwahiyo unafikiri umuhimu wa nchi hii upo kwa raia milion 6 tu mpaka uhoji mikopo inakwenda wapi
 
Wakati wa Hayati Magufuli kama Mkandarasi amemaliza kazi na ikakaguliwa na kupewa go ahead haimalizi hata wiki mkandarasi ataona fedha yake kwenye akaunti yake. Kulikoni leo?.
 
Wanaotekeleza Miradi mikubwa ndiyo wanalipwa kwa wakati.

Bwawa la nyerere trilioni 7 zimelipwa zote haraka haraka kwa mkandarasi.

Ila sasa tazama wale wanaojenga bara bara jinsi wanavyosumbiliwa kulipwa
 
Miradi mingi ya Serikali hasa za barabara imesimama na Wakandarasi wengi wamekimbia kutoka kwenye maeneo ya kazi. Mfano hai hapa Mwanza kuna miradi inayotekelezwa JASCO ya barabara za lami. Huyu Mkandarasi amekimbia kazi. Ninauliza tatizo ni nini?. Inawekana malipo yamechelewa. Mbona hali hii haikuwepo wakati wa Awamu ya Tano?.

Hayati Magufuli tutakukumbuka kwa utawala wako ambao kila sekta ilitekeleza wajibu wake kwa weledi mkubwa. Pumzika kwa amani.
Miradi mingi ya Serikali hasa za barabara imesimama na Wakandarasi wengi wamekimbia kutoka kwenye maeneo ya kazi. Mfano hai hapa Mwanza kuna miradi inayotekelezwa JASCO ya barabara za lami. Huyu Mkandarasi amekimbia kazi. Ninauliza tatizo ni nini?. Inawekana malipo yamechelewa. Mbona hali hii haikuwepo wakati wa Awamu ya Tano?.

Hayati Magufuli tutakukumbuka kwa utawala wako ambao kila sekta ilitekeleza wajibu wake kwa weledi mkubwa. Pumzika kwa amani.
Kwakweli ningekuwa na mamlaka huyu Jasco asingepewa tena kazi nyingine. Mfano marekebisho ya daraja la pale buzuruga kuelekea mahina ilikuwa ni kazi ya wiki Moja imezidi sana wiki mbili lakini Hadi Sasa ni miezi miwili halijaisha na kazi imesimama.
 
Miradi mingi ya Serikali hasa za barabara imesimama na Wakandarasi wengi wamekimbia kutoka kwenye maeneo ya kazi. Mfano hai hapa Mwanza kuna miradi inayotekelezwa JASCO ya barabara za lami. Huyu Mkandarasi amekimbia kazi. Ninauliza tatizo ni nini?. Inawekana malipo yamechelewa. Mbona hali hii haikuwepo wakati wa Awamu ya Tano?.

Hayati Magufuli tutakukumbuka kwa utawala wako ambao kila sekta ilitekeleza wajibu wake kwa weledi mkubwa. Pumzika kwa amani.
Hatujalipwa kaka sasa tutafanya vipi kazi ikiwa malipo unasubiria kwa miezi 7??
 
Wakati wa Hayati Magufuli kama Mkandarasi amemaliza kazi na ikakaguliwa na kupewa go ahead haimalizi hata wiki mkandarasi ataona fedha yake kwenye akaunti yake. Kulikoni leo?.
Fedha hamna toka mwezi wa 5 mwaka jana wakandarasi wanadai tarura mabilioni hawalipwi nchi imefilisika
 
Mzee wangu mkandaras, mradi mwa million 580 serikal hata 10 mbovu haijatoa kama advance, kaona isiwe tabu kasitisha kazi
 
Back
Top Bottom