Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
*hawalilii
Ni kwa nini ni big deal kwa Kenya kutembelewa na Magufuli wetu mpaka hata mnajadili nchi nzima kwa nini hajaja Kenya?
Mbona nchi nyingine hawalalamiki SADC ambapo TZ ndiyo mmoja wa Waanzilishi bado hajatembelea mbona siyo big deal? Ni kwa nini Wakenya wamelishupalia hili?
Isitoshe nchi ya TZ iliwakilishwa kikamilifu huko Waziri Mkuu na timu yake walikuwepo sasa tatizo ni nini?
Acheni ujinga fuatilieni maisha yenu, tuacheni na maisha yetu!
Ni kwa nini ni big deal kwa Kenya kutembelewa na Magufuli wetu mpaka hata mnajadili nchi nzima kwa nini hajaja Kenya?
Mbona nchi nyingine hawalalamiki SADC ambapo TZ ndiyo mmoja wa Waanzilishi bado hajatembelea mbona siyo big deal? Ni kwa nini Wakenya wamelishupalia hili?
Isitoshe nchi ya TZ iliwakilishwa kikamilifu huko Waziri Mkuu na timu yake walikuwepo sasa tatizo ni nini?
Acheni ujinga fuatilieni maisha yenu, tuacheni na maisha yetu!