Mbona Ng'ombe aliyekamuliwa na Yohana huko Majivuno Region alianza ghafla Kukasirika na kutaka Kufungua Kamba ili ampige?

Mbona Ng'ombe aliyekamuliwa na Yohana huko Majivuno Region alianza ghafla Kukasirika na kutaka Kufungua Kamba ili ampige?

Kuna muda nilimuona Mkamuaji akitaka Kudondoka pamoja na Ndoo yake ya Maziwa ila Ndamba ( Raba ) zake zilimuokoa huku akihema sana tu.
Kama mtu unalaa na kufikilia kuandika kitu kama hiki na ukatarajia kuiokomboa Tz basi mmekwisha wapinzani.

Sera yenu kuu ni uchochezi kupitia chuki,uzushi,uongo,n.k. hamtafika popotd kamwe!!
 
Ukiwa mwizi wa kura ni lazima hadi ng'ombe wakuchukie!Ng'ombe wa siku hizi wanawajua hadi wezi wa kura.
 
Kuna muda nilimuona Mkamuaji akitaka Kudondoka pamoja na Ndoo yake ya Maziwa ila Ndamba ( Raba ) zake zilimuokoa huku akihema sana tu.
Wewe jamaa wewe [emoji3][emoji3]. Ilikua kumvizia tuu lasivyo ingekua nomaa
 
Back
Top Bottom