MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Kuna muda nilimuona Mkamuaji akitaka Kudondoka pamoja na Ndoo yake ya Maziwa ila Ndamba ( Raba ) zake zilimuokoa huku akihema sana tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majivuno region ndo wapi??Kuna muda nilimuona Mkamuaji akitaka Kudondoka pamoja na Ndoo yake ya Maziwa ila Ndamba ( Raba ) zake zilimuokoa huku akihema sana tu.
Atokako Founder wa Platform hii tuliyopo Mimi na Wewe hivi sasa. Hujaona Picha yake Yohana akikamua Maziwa Ng'ombe na nusura adondoke?Majivuno region ndo wapi??
Kwa nini umeamua kupaita 'majivuno'???Atokako Founder wa Platform hii tuliyopo Mimi na Wewe hivi sasa. Hujaona Picha yake Yohana akikamua Maziwa Ng'ombe na nusura adondoke?
Kwani sifa zenu za kujivuna hauzifahamu mkuu? Au mmeacha?Kwa nini umeamua kupaita 'majivuno'???
Una hasira na mkoa au mkuu wa nchi??Kwani sifa zenu za kujivuna hauzifahamu mkuu? Au mmeacha?
Kama mtu unalaa na kufikilia kuandika kitu kama hiki na ukatarajia kuiokomboa Tz basi mmekwisha wapinzani.Kuna muda nilimuona Mkamuaji akitaka Kudondoka pamoja na Ndoo yake ya Maziwa ila Ndamba ( Raba ) zake zilimuokoa huku akihema sana tu.
Mbona hakuna hisia ya hasira hapo mkuu, nimekuuliza majivuno mmeacha?Una hasira na mkoa au mkuu wa nchi??
Haha naona hasira za chato zimehamia KaragweMbona hakuna hisia ya hasira hapo mkuu, nimekuuliza majivuno mmeacha?
Kwanini zihamie huko? Hivi kumbe Chato watu wana hasira nako🚶🚶Haha naona hasira za chato zimehamia Karagwe
Wewe jamaa wewe [emoji3][emoji3]. Ilikua kumvizia tuu lasivyo ingekua nomaaKuna muda nilimuona Mkamuaji akitaka Kudondoka pamoja na Ndoo yake ya Maziwa ila Ndamba ( Raba ) zake zilimuokoa huku akihema sana tu.