Mbona Salamu Za Pongezi Hazimiminiki Kwa Uhuru Kenyatta Kama Uchaguzi Uliopita?

Mbona Salamu Za Pongezi Hazimiminiki Kwa Uhuru Kenyatta Kama Uchaguzi Uliopita?

G4rpolitics

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
4,369
Reaction score
5,248
Nimejaribu kufatilia taarifa za ushindi wa Kenyatta, hapa kwetu sijaona salamu za pongezi zikitoka kwa haraka kama ilivyokuwa uchaguzi uliopita, tukiachia hapa kwetu AU, pamoja na nchi za Jumuia ya Afrika Mashariki ya Ulaya zote zipo kimya, na nchi nyingi duniani kwa ujumla. Nimeona Observers kama Thabo Mbeki wakiogopa kujibu maswali kutoka kwa waandishi wa habari. Hii picha inatuonyesha nini?
 
Jamaa kalazimisha kuwa alipo
Watamgomea hadi akome
Ndio kawaida ya nchi za Africa.

Tazama Uganda Museven anabadili katiba ili aendelee kutawala.

Burundi kwa Nkurunziza unajua kilichotokea
Tazama Rwanda, ukijitokeza kua mpinzani tu ujue una hali ngumu mpaka mama yako atakamatwa.

Tazama Kenya tu mambo magumu mno mpaka serikali inaamua kuua afisa wa tume ya uchaguzi.

Angalia huko Ethiopia, angalia Congo, angalia SA.

Kuhusu TZ sijui....[emoji23]

Kwa ufupi bara la Africa labda kiazi chetu kikiondoka mambo yanaweza kubadilika
 
Ndio kawaida ya nchi za Africa.

Tazama Uganda Museven anabadili katiba ili aendelee kutawala.

Burundi kwa Nkurunziza unajua kilichotokea
Tazama Rwanda, ukijitokeza kua mpinzani tu ujue una hali ngumu mpaka mama yako atakamatwa.

Tazama Kenya tu mambo magumu mno mpaka serikali inaamua kuua afisa wa tume ya uchaguzi.

Angalia huko Ethiopia, angalia Congo, angalia SA.

Kuhusu TZ sijui....[emoji23]

Kwa ufupi bara la Africa labda kiazi chetu kikiondoka mambo yanaweza kubadilika
Kipindi kile mu7 alikuwa wa kwanza ku tweety nashangaa kipindi hiki, ndo atakuja baadaye labda.
 
Nimejaribu kufatilia taarifa za ushindi wa Kenyatta, hapa kwetu sijaona salamu za pongezi zikitoka kwa haraka kama ilivyokuwa uchaguzi uliopita, tukiachia hapa kwetu AU, pamoja na nchi za Jumuia ya Afrika Mashariki ya Ulaya zote zipo kimya, na nchi nyingi duniani kwa ujumla. Nimeona Observers kama Thabo Mbeki wakiogopa kujibu maswali kutoka kwa waandishi wa habari. Hii picha inatuonyesha nini?

hazimiminiki pongezi kwa RAIS Kenyatta?
 
Salamu za pongezi zilishatolewa kitambo, sema Raila ndo alikuwa anasumbua tu
 
Back
Top Bottom