youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
katika magazeti ya leo yamepoa kama hakukuwa na mechi yoyote jana, kwanini hawajaiandika magazetini? Acheni unafiki nyinyi ivi mngeshinda kweli hapa leo si tungesoma kila page mambo ya stars? Kuweni wazalendo.
Mkuu wanajifanya wameelekeza juhudi kutangaza bunge,hata hivo wamefungwa yanga,azam na tp mazembe,simba hatukucheza
Mkuu wanajifanya wameelekeza juhudi kutangaza bunge,hata hivo wamefungwa yanga,azam na tp mazembe,simba hatukucheza
Hii stars imezalisha tz na imethibisha kwamba yenyewe ni kichwa cha mwendawazimu
Ni uzalendo pia kuumia kimya kimya
Waiweke ili iweje? Matokeo tunayajua na wala hatutaki kuyaona popote, wakiweka habari za mechi ya jana hawatauza.