Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Leo nilikua naangalia Rais wa Uturuki akizindua ndege mpya ya vita yenye teknolojia ya kisasa!
Nikajiuliza..
Mbona huku kwetu tunasikia rais anazindua jengo mara kituo cha afya mara mradi wa maji mbona sijawahi sikia rais anazindua teknolojia mpya?
Au sisi hatuna watafiti/wanasayansi? Je, huko vyuoni maprofesa wa IT, kilimo, uhandisi wanafanya nini?
Nikajiuliza..
Mbona huku kwetu tunasikia rais anazindua jengo mara kituo cha afya mara mradi wa maji mbona sijawahi sikia rais anazindua teknolojia mpya?
Au sisi hatuna watafiti/wanasayansi? Je, huko vyuoni maprofesa wa IT, kilimo, uhandisi wanafanya nini?