#COVID19 Mbona sioni watu wakipimwa kwanza ili kubaini kama wameathirika au la kabla ya kupewa chanjo ya Covid-19?

#COVID19 Mbona sioni watu wakipimwa kwanza ili kubaini kama wameathirika au la kabla ya kupewa chanjo ya Covid-19?

B Prosper

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
2,527
Reaction score
4,097
JF Doctors, heshima kwenu.

Katika pitapita zangu niliweza kujifunza kuwa chanjo/ vaccine hutolewa kwa mtu ambaye ni negative yaan mtu ambaye bado hajaathiriwa na ugonjwa husika. Nikiwa na maana kwamba kama mtu ni mgonjwa basi chanjo siyo muhimu kwake badala yake atapewa dawa za kuutibu ugonjwa huo.

Sasa, hapa nahitaji kuelimishwa zaidi kuhusu hizo chanjo za covid 19, mbona sioni watu wakipimwa kwanza ili kubaini kama ni negative au positive ili wapewe/wasipewe hizo chanjo? Badala yake unajaza tu form na kupata vaccine.

Yeyote mwenye ufahamu alete elimu hapa,
 
Najua wengi wetu humu hatuangalii TBC ila jana nilipata bahati ya kuangalia kipindi kile kinaongozwa na Ryoba.

Kulikuwa na mjadala kuhusu chanjo ya corona, hizo hoja zote na zile za Gwajima zimejibiwa kiufasaha zaidi.
 
Najua wengi wetu humu hatuangalii TBC ila jana nilipata bahati ya kuangalia kipindi kile kinaongozwa na Ryoba.

Kulikuwa na mjadala kuhusu chanjo ya corona, hizo hoja zote na zile za Gwajima zimejibiwa kiufasaha zaidi.
Mkuu unaweza japo andika kwa ufupi kabisa, kama unajibu la swali langu. Nitakushukuru
 
Mkuu unaweza japo andika kwa ufupi kabisa, kama unajibu la swali langu. Nitakushukuru
Kwa jinsi nilivyoelewa chanjo ya Corona inatolewa kwa kitu kinaitwa (emergency authorization) kama dharura kutokana na hali ya ugonjwa.

Basi ukiwa positive na ukachanjwa inakusaidia kupunguza makali ya uviko tofauti na yule asochanjwa kabisa.
 
JF Doctors, heshima kwenu.

Katika pitapita zangu niliweza kujifunza kuwa chanjo/ vaccine hutolewa kwa mtu ambaye ni negative yaan mtu ambaye bado hajaathiriwa na ugonjwa husika. Nikiwa na maana kwamba kama mtu ni mgonjwa basi chanjo siyo muhimu kwake badala yake atapewa dawa za kuutibu ugonjwa huo.

Sasa, hapa nahitaji kuelimishwa zaidi kuhusu hizo chanjo za covid 19, mbona sioni watu wakipimwa kwanza ili kubaini kama ni negative au positive ili wapewe/wasipewe hizo chanjo? Badala yake unajaza tu form na kupata vaccine.

Yeyote mwenye ufahamu alete elimu hapa,
Hii chanjo imekuwa sawa na siasa.
 
JF Doctors, heshima kwenu.

Katika pitapita zangu niliweza kujifunza kuwa chanjo/ vaccine hutolewa kwa mtu ambaye ni negative yaan mtu ambaye bado hajaathiriwa na ugonjwa husika. Nikiwa na maana kwamba kama mtu ni mgonjwa basi chanjo siyo muhimu kwake badala yake atapewa dawa za kuutibu ugonjwa huo.

Sasa, hapa nahitaji kuelimishwa zaidi kuhusu hizo chanjo za covid 19, mbona sioni watu wakipimwa kwanza ili kubaini kama ni negative au positive ili wapewe/wasipewe hizo chanjo? Badala yake unajaza tu form na kupata vaccine.

Yeyote mwenye ufahamu alete elimu hapa,
Unataka uone ukiwa wapi? Ofisini kwako au nyuma ya desktop?

Kwenye kituo nilichopata chanjo mimi kulikua na fomu iliyojazwa baada ya kufanya vipimo basic kama uzito, urefu, blood presure na body temperature. Waliuliza pia historia za magonjwa mbalimbali na kwa wale ambao body temperature ilikua juu walielekezwa kufanya vipimo zaidi.
 
Unataka uone ukiwa wapi? Ofisini kwako au nyuma ya desktop?

Kwenye kituo nilichopata chanjo mimi kulikua na fomu iliyojazwa baada ya kufanya vipimo basic kama uzito, urefu, blood presure na body temperature. Waliuliza pia historia za magonjwa mbalimbali na kwa wale ambao body temperature ilikua juu walielekezwa kufanya vipimo zaidi.
Ningefurahi kama ungeniambia ulipimwa covid na baada ya majibu ukapata hiyo chanjo, kigezo cha kupimwa body temp siyo fact, magonjwa mengi yanaasili ya kupandisha body temp.
 
Kwa jinsi nilivyoelewa chanjo ya Corona inatolewa kwa kitu kinaitwa (emergency authorization) kama dharura kutokana na hali ya ugonjwa.

Basi ukiwa positive na ukachanjwa inakusaidia kupunguza makali ya uviko tofauti na yule asochanjwa kabisa.

Ahsante kwa kujibu mkuu, mie sio daktari ila chanjo kama chanjo, hautakiwi kuchomwa ukiwa tayari una huo ugonjwa, hii ni kwa chanjo nyingi sijui kama ni kwa zote.

Kuna baadhi ya chanjo hata ukiwa na homa tu, hawakuchanji.

Ni kweli hii ya Covid ni dharura ambayo imeidhinishwa kuondoa hatari ya maambukizi.

Nnachokubaliana na maelezo yako ni kwamba, wanasema uwezekano wa kupata maambukizi upo lakini madhara hayatakua makubwa sana.
 
Na mimi ningependa kuongezea swali hapo hapo kuhusu chanjo. Wameshathibitisha kwamba kirusi kinabadilika badilika, kwanini wasiendelee na tafiti kwaza kuhusu chanjo badala ya kulazimisha watu kuchanjwa huku kirusi kikiendelea kubadilika, tuliambia delta, sasa kuna lambda, hatujui kesho kitakua kitu gani.

Wataalam siku zote wanasema, changamoto ya HIV ni hiyo hiyo kirusi kubadilika badilika.

Ikiwa tunasubiria chanjo ya HIV, tusubirie na za Covid 19, hizi za majaribio ziendelee kuwa hiari, sio kulazimishana.
 
Mtu hata hajui kutofautisha kuzuia na kutibu halafu anataka ajibiwe maswali ya darasa la Sita.elimu muhimu sana
 
Ahsante kwa kujibu mkuu, mie sio daktari ila chanjo kama chanjo, hautakiwi kuchomwa ukiwa tayari una huo ugonjwa, hii ni kwa chanjo nyingi sijui kama ni kwa zote.

Kuna baadhi ya chanjo hata ukiwa na homa tu, hawakuchanji.

Ni kweli hii ya Covid ni dharura ambayo imeidhinishwa kuondoa hatari ya maambukizi.

Nnachokubaliana na maelezo yako ni kwamba, wanasema uwezekano wa kupata maambukizi upo lakini madhara hayatakua makubwa sana.
Nami pia si daktari ila nimemnukuu professor Lyamulya
 
Back
Top Bottom