NUUMA BAKUNYA
Member
- Feb 19, 2013
- 23
- 1
jamani kama Kuna mtu Ana any news anijuze make mi nipo kijijini
Mambo haya ni lini mkuu?..maana ni kawaida kwa serikali yetu kutoa matamko na kusahau! lini watatupia majina sasa?...na hiyo hazina wanayoisingzia itamaliza mchakato lini?Mkuu gazeti la habari leo serikali imetowa tamko wataajiri tena walimu wa awamu ya pili 2219 kuziba nafac zilizo acha wazi just wait.
Mambo haya ni lini mkuu?..maana ni kawaida kwa serikali yetu kutoa matamko na kusahau! lini watatupia majina sasa?...na hiyo hazina wanayoisingzia itamaliza mchakato lini?
Mkuu kwa mujibu wa ile taarifa inaonekana yatatoka mwezi huu
Unajua mcharge,hawa jamaa watatuajiri ila we sema tutakaa sana kitaa,kama ulivyosema unawauliza swali gumu wanakupa majibu mepesi ndo ilivyo.
Ila ujuwe nini sulle ile taarifa imetowa kidogo matumaini coz walikaa sana kimya bila tamko nakutuacha njia panda.
Ni kweli,then lets wait for a litle while
jamani kama Kuna mtu Ana any news anijuze make mi nipo kijijini
Dah asee poleni sana mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu.
Kajiajili ww acha kupenda mteremko
Haya mkuu,tunaomba mtaji kidogo
Dah asee poleni sana mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu.