Mbona Telegram haifanyi kazi?

Mbona Telegram haifanyi kazi?

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
14,834
Reaction score
32,522
Mbona huku tuko busy na mishe zetu wala hatuna habari na siasa zao za kitapeli? Kwa sasa huwezi ingia tele bila vpn iwe simu au vpn.

Nimekaa nimewaza hawa jamaa kwani wana matatizo gani, pamoja na wizi wote wanaoufanya bado wanataka kutukaba mpaka huku?

Nyie chawa wa Lumumba fikisheni ujumbe, hiki wanachofanya ni ushamba, waendelee kuhangaika na club house huku tupeni break kidogo!
 
Mbona huku tuko busy na mishe zetu wala hatuna habari na siasa zao za kitapeli? Kwa sasa huwezi ingia tele bila vpn iwe simu au vpn.
Nimekaa nimewaza hawa jamaa kwani wana matatizo gani, pamoja na wizi wote wanaoufanya bado wanataka kutukaba mpaka huku?

Nyie chawa wa Lumumba fikisheni ujumbe, hiki wanachofanya ni ushamba, waendelee kuhangaika na club house huku tupeni break kidogo!
Inasikitisha sana!
Screenshot_20250309_212225_Telegram.jpg
 
Yaan hata waiondoe kbs nchi Bado tutafuta namna ya kuupata tu huo mtandao pendwa Kwa watu wanaojua thamani yake mkuu..
Telegram n tamu🙌
 
Mbona huku tuko busy na mishe zetu wala hatuna habari na siasa zao za kitapeli? Kwa sasa huwezi ingia tele bila vpn iwe simu au vpn.

Nimekaa nimewaza hawa jamaa kwani wana matatizo gani, pamoja na wizi wote wanaoufanya bado wanataka kutukaba mpaka huku?

Nyie chawa wa Lumumba fikisheni ujumbe, hiki wanachofanya ni ushamba, waendelee kuhangaika na club house huku tupeni break kidogo!
Hawa wadau ni wapuuzi mishe zangu nyingi zimesimama kwasababu ya huu upuuzi
 
Acha kutumia VPN unganisha Telegram yako na Proxy
 
Chukua hii message kakopi telegram then fuata maelekezo

Hatua ya Kwanza

Bofya Hapa
tg://proxy?server=cloudflare.com.nokia.co.uk.do_you.want_to.clash_without.this.www.microsoft.com.there_is_no.place_like.localhost.www.bing.com.count_with_me.cyou.net.digikala.com.msn.com.bsi.ir.enamad.ir.now_sudo.again_to_fight.everyone.i_am.gpt_internet.zerooners.com.&port=443&secret=7nlnZpKACGMvBKgv9kq9q-5jaGF0Z3B0Lnplcm9vbmVycy5jb20

Hatua ya Pili
☑️Chagua "Connect Proxy"
 
Back
Top Bottom