Inasikitisha sana!Mbona huku tuko busy na mishe zetu wala hatuna habari na siasa zao za kitapeli? Kwa sasa huwezi ingia tele bila vpn iwe simu au vpn.
Nimekaa nimewaza hawa jamaa kwani wana matatizo gani, pamoja na wizi wote wanaoufanya bado wanataka kutukaba mpaka huku?
Nyie chawa wa Lumumba fikisheni ujumbe, hiki wanachofanya ni ushamba, waendelee kuhangaika na club house huku tupeni break kidogo!
Wazee wa kununua umeme kutokea Ethiopia maana umeme kutoka kusini ni mbali sana na inasababisha upotevu wa umeme!Hadi uwe na "vipieni"
Hawa wadau ni wapuuzi mishe zangu nyingi zimesimama kwasababu ya huu upuuziMbona huku tuko busy na mishe zetu wala hatuna habari na siasa zao za kitapeli? Kwa sasa huwezi ingia tele bila vpn iwe simu au vpn.
Nimekaa nimewaza hawa jamaa kwani wana matatizo gani, pamoja na wizi wote wanaoufanya bado wanataka kutukaba mpaka huku?
Nyie chawa wa Lumumba fikisheni ujumbe, hiki wanachofanya ni ushamba, waendelee kuhangaika na club house huku tupeni break kidogo!
How?Acha kutumia VPN unganisha Telegram yako na Proxy
Chukua hii message kakopi telegram then fuata maelekezoHow?
Hakuna namna acha tukomae tuuMkuu ndo hivyo imebidi nitumie proxy