Mbona timu haijapoteza mechi?

Mbona timu haijapoteza mechi?

NUHWAHI

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2014
Posts
306
Reaction score
490
Mechi za karibuni Simba imeshinda au imetoa sare.. haijapoteza.. Sasa matusi yalenga nini!?

Yaani kinachoumiza Simba ni matokeo ya yanga.. Ina maana kwa kiwango hiki cha Simba na ingetokea yanga inapoteza mechi zake.

Je, pangekuwa na malalamiko kwa mashabiki wa Simba?
 
Mechi za karibuni Simba imeshinda au imetoa sare.. haijapoteza.. Sasa matusi yalenga nini!?
Yaani kinachoumiza Simba ni matokeo ya yanga.. Ina maana kwa kiwango hiki cha Simba na ingetokea yanga inapoteza mechi zake, je pangekuwa na malalamiko kwa mashabiki wa Simba!?
Tatizo Simba na Yanga ni watoto mapacha ambao ni mahasimu[emoji23][emoji23][emoji23]

Mashabiki wapande zote wanataka upande wao uwe bora siku zote dhidi ya upande wa pili. Na katika hili hakuna siku itakuja kubadirika, ofcoz ndio ushindi wenyewe huo wakutaka kila upande uwe bora zaidi na kwa kiasi fulani una saidia kuinua viwango vya pande zote.

Malengo ya ushindani wa mechi za kimataifa ni kutoa sare ugenini na ushindi huwa ni bonasi sema nyumbani ushindi ni lazima. Sasa Simba mpaka sasa bado wako vizuri isipokua kinachosumbua ni matokeo ya Yanga [emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi pia ni Simba damdam ila sifurahii matokeo yetu sababu ya Yanga ni hilo tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata kama ni utani wa jadi. Haya majina tunayoitana yanasababisha ngumi sana mitaani
Hili jina Mbumbumbu Simba walipewa na M/kitu wao wa zamani Ndg, Rage...

So hakuna ngumi mitaani Mbumbumbu limekidhi vigezo kwa Simba na mashabiki wake.

Lilitolewa ktk mkutano mkuu wa Simba na wala hakuwa na Ngumi.

Simba ni Mbumbumbu tena watembee kifua mbeleeeeeee [emoji16]

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Hili jina Mbumbumbu Simba walipewa na M/kitu wao wa zamani Ndg, Rage...

So hakuna ngumi mitaani Mbumbumbu limekidhi vigezo kwa Simba na mashabiki wake.

Lilitolewa ktk mkutano mkuu wa Simba na wala hakuwa na Ngumi.

Simba ni Mbumbumbu tena watembee kifua mbeleeeeeee [emoji16]

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
AISEE!
 
Tatizo Simba na Yanga ni watoto mapacha ambao ni mahasimu[emoji23][emoji23][emoji23]

Mashabiki wapande zote wanataka upande wao uwe bora siku zote dhidi ya upande wa pili. Na katika hili hakuna siku itakuja kubadirika, ofcoz ndio ushindi wenyewe huo wakutaka kila upande uwe bora zaidi na kwa kiasi fulani una saidia kuinua viwango vya pande zote.

Malengo ya ushindani wa mechi za kimataifa ni kutoa sare ugenini na ushindi huwa ni bonasi sema nyumbani ushindi ni lazima. Sasa Simba mpaka sasa bado wako vizuri isipokua kinachosumbua ni matokeo ya Yanga [emoji23][emoji23][emoji23]

Mimi pia ni Simba damdam ila sifurahii matokeo yetu sababu ya Yanga ni hilo tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Aaahaaaa
 
Hahahahaahahahahahahahahahahahahahaha.........

Sasa kama mnasema kocha hampendi chama na hata chama anavyofunga anafunga kwa utashi wake na sio maelekezo ya kocha.

Simba kuna tatizo kubwa, kiongozi mkuu analalamika, msemaji inaoneonena hajui sera , mfumo wala utamaduni wa timu, anaongea lolote analoliona mbele yake.

Mchezaji akianguka walioko bench wanamcheka, sasa kwanini mashabiki na wanachama nao wasilalamike.


KAMA BOSI MKUU WA TIMU ANALALAMIKA, MASHABIKI NA WANACHAMA HAO NI NANI HADI WASILALAMIKE.
 
Sisi mashabiki tumechoshwa na pira papatu papatu. Tunataka timu yetu icheze kama Yanga. Hata ikifungwa, sawa tu. Ila icheze kama Yanga.
 
Timu haichezi vibaya ila Simba kinacho watesa lile soka lao la asili ya kuweka mpira chini ndio hawalioni.

Simba sio result oriented wao wanataka,wakipigwa,wakidroo wakishinda waone mpira ukiwekwa chini.
 
Back
Top Bottom