LGE2024 Mbona Tulia Ackson kaanza kampeni mapema hivi? Azindua ofisi ya Chama cha Madereva na Wamiliki wa Bajaji Mbeya Mjini

LGE2024 Mbona Tulia Ackson kaanza kampeni mapema hivi? Azindua ofisi ya Chama cha Madereva na Wamiliki wa Bajaji Mbeya Mjini

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Hivi hizi kampeni zinazofanyika sasa si ni kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Au ni kampeni za Uchaguzi Mkuu?

Kwa sababu naona kama Tulia ame-lobby hii process na amefanya hii kampeni yote kumuhusu yeye.

Na hii benki iliyompa Tulia hizi bajaji nane kwa ajili ya Tulia Trust, mna uhakika hii sio kesi?

Tulia .png

========================

Spika wa Bunge wa Tulia Ackson hivi karibuni amefanya Uzinduzi wa Ofisi ya Chama Cha Madereva na Wamiliki wa Bajaji Mbeya Jiji

Katika maadhimisho hayo, Benki ya PBZ Tawi la Mbeya ikimkabidhi Dkt. Tulia Bajaji Mbili na Pikipiki Nane Kwaajili ya Kuunga Mkono sera ya Tulia Trust.

Source: Dream FM TZ
 
Wakuu,

Hivi hizi kampeni zinazofanyika sasa si ni kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Au ni kampeni za Uchaguzi Mkuu?

Kwa sababu naona kama Tulia ame-lobby hii process na amefanya hii kampeni yote kumuhusu yeye.

Na hii benki iliyompa Tulia hizi bajaji nane kwa ajili ya Tulia Trust, mna uhakika hii sio kesi?

=====================

Spika wa Bunge wa Tulia Ackson hivi karibuni amefanya Uzinduzi wa Ofisi ya Chama Cha Madereva na Wamiliki wa Bajaji Mbeya Jiji

Katika maadhimisho hayo, Benki ya PBZ Tawi la Mbeya ikimkabidhi Dkt. Tulia Bajaji Mbili na Pikipiki Nane Kwaajili ya Kuunga Mkono sera ya Tulia Trust.
Kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa mwisho ni leo ndugu mtoa hoja.

Na,
kazi za Chama Cha ha Mapinduzi maeneo mbalimbali nchini, zitaendelea kufanyika hata baada ya kampeni hizi, kwasabb ndicho chama kilicho pewa dhamana na wanainchi, na ndicho kilichobeba matumaini na matarajio ya waTanzania wote.

Dr Tulia Akson, Rais wa shirikisho la umoja wa mabunge duniani, anafanya kazi kubwa na nzuri mno ya kuwaunganisha wana CCM, wa makundi yote Mbeya.

Huu ni mfano muhimu sana wa kuigwa na wana CCM wote maeneo yote nchini 🐒

Kidumu Chama Cha Mapinduzi 🐒
 
Kampeni tena?

Kwani mbunge hawezi kutoa misaada muda wowote ndani ya muhula wake?
 
Kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa mwisho ni leo ndugu mtoa hoja.

Na,
kazi za Chama Cha ha Mapinduzi maeneo mbalimbali nchini, zitaendelea kufanyika hata baada ya kampeni hizi, kwasabb ndicho chama kilicho pewa dhamana na wanainchi, na ndicho kilichobeba matumaini na matarajio ya waTanzania wote.

Dr Tulia Akson, Rais wa shirikisho la umoja wa mabunge duniani, anafanya kazi kubwa na nzuri mno ya kuwaunganisha wana CCM, wa makundi yote Mbeya.

Huu ni mfano muhimu sana wa kuigwa na wana CCM wote maeneo yote nchini 🐒

Kidumu Chama Cha Mapinduzi 🐒

Nna uhakika hujasoma bandiko lote.

Kwa sababu hujajibu hoja hata moja
 
Kampeni tena?

Kwani mbunge hawezi kutoa misaada muda wowote ndani ya muhula wake?

Mkuu lakini yeye hajatoa msaada.

Yeye ndo kapewa misaada ya bajaji na pikipiki na benki.
 
.
Pongezi kwa mama
 
Nna uhakika hujasoma bandiko lote.

Kwa sababu hujajibu hoja hata moja
kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zinazoishia leo,
haziwezi kutatiza mipango mikakati ya Chama Cha Mapinduzi, hususani ile iliyosukwa na kusimamiwa na Dr Tulia Akson, mbunge wa Mbeya mjini na Rais wa shirikisho la mabunge duniani.

Mipango mikakati kabambe na madhubuti kama hiyo itaendelea kutekelezwa kimkakati na kulenga kuyaunganisha makundi yote ya wanainchi, mbeya na maeneo mengine nchini.

Tulia Trust ni kiunganishi Muhimu sana kwa wana Mbeya kujikwamua kiuchumi. Endeleeni kumuunga mkono Dr Tulia, mengi zaidi yanakuja.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi 🐒
 
Mkuu lakini yeye hajatoa msaada.

Yeye ndo kapewa misaada ya bajaji na pikipiki na benki.

Sio kwamba hiyo taasisi yake ndio imepewa mkuu na yeye yupo hapo kama mkuu wa taasisi kupokea msaada aliopewa?

Pia hizi taasisi zinazotoa misaada kwa taasisi zinazoongozwa na wanasiasa, huwa wana malengo yao ya chini ya kapeti...
 
kazi za Chama Cha ha Mapinduzi maeneo mbalimbali nchini, zitaendelea kufanyika hata baada ya kampeni hizi, kwasabb ndicho chama kilicho pewa dhamana na wanainchi, na ndicho kilichobeba matumaini na matarajio ya waTanzania wote.

Sema kilichojipa dhamana ..... Yaani Chama kinaiba Uchaguzi halafu kinataka kutuaminisha kuwa kimeshinda.

AXIS of EVIL ... CCM na wenzake ZANU PF na FRELIMO.
 
Mwacheni dada yetu afanye kazi yake jimboni kwake
 
Sema kilichojipa dhamana ..... Yaani Chama kinaiba Uchaguzi halafu kinataka kutuaminisha kuwa kimeshinda.

AXIS of EVIL ... CCM na wenzake ZANU PF na FRELIMO.
yaani wewe ni wakuibiwaga tu, umekua zuzu gentleman?

ndiyo maana sheria na katiba inataka washiriki wa uchaguzi wawe wenye akili timamu tu na sio mazuzu kama wanaosingizia kuibiwa kura ambazo hawana kila uchaguzi, huku wao sijui wanakua wamekodoa mimacho tu 🤣

that's useless na completely nonsense 🐒
 
Chadema mna teseka sana aisee, kwan nyie mmezuia kufungua miradi?
 
yaani wewe ni wakuibiwaga tu, umekua zuzu gentleman?

ndiyo maana sheria na katiba inataka washiriki wa uchaguzi wawe wenye akili timamu tu na sio mazuzu kama wanaosingizia kuibiwa kura ambazo hawana kila uchaguzi, huku wao sijui wanakua wamekodoa mimacho tu 🤣

that's useless na completely nonsense 🐒

Kwani vichaa huwa wanajijua. Unaweza kufikiri uko sawa kumbe wewe ndiye bwege Mkubwa.

If you can't comprehend basic things what are you really doing here. F#$@k off with your cheap Propaganda. If your leadership has already acknowledged about what was done in 2019 and 2020.... What the F%$#k are you trying to preach your rubbish here? It's common knowledge there was no election in 2019 and 2020.
 
Kwani vichaa huwa wanajijua. Unaweza kufikiri uko sawa kumbe wewe ndiye bwege Mkubwa.

If you can't comprehend basic things what are you really doing here. F#$@k off with your cheap Propaganda. If your leadership has already acknowledged about what was done in 2029 and 2020.... What the F%$#k are you trying to preach here? It's common knowledge there was no election in 2019 and 2020.
afya ya akili ni pamoja na kuwaza kwa mihemko, kuamua kwa jazba, kusema na kutenda kwa kukurupuka mambo ambayo yanakuathiri wewe mwenyewe 🤣

ukizira au kususa uchaguzi kwa sababu yeyote ile, wengine watashiriki na watasonga mbele bila mbambamba na hakuna kitu utafanya wala utapata zaidi ya maumivu makali moyoni gentleman,

Hata hivyo,
kupitia Tuli Trust, Rais wa shirikisho la umoja wa mabunge duniani Dr Tulia Akson, mbunge wa Mbeya mjini, anafanya kazi kubwa na nzuri sana kwa maslahi mapana ya watu wa Mbeya 🐒

well done madam Speaker.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi...
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani(IPU) Mhe. Dkt.Tulia Ackson ameungana na Umoja wa Madereva na Wamiliki wa Bajaji Mbeya Jiji Katika Maadhimisho ya Miaka 15 ya Umoja huo.

Maadhimisho hayo yamefanyika Katika Uwanja wa Shule ya Msingi Mwenge Kata ya Ruanda ambapo Madereva na Wamiliki wa Bajaji Walihudhuria Wakiongozwa na Mwenyekiti wa Umoja Huo Ndug.
Lucas Patson Mwakyusa na Viongozi wa Bajaji Kutoka Mikoa ya Dar Es Salaam, Iringa na Songwe.

Katika Maadhimisho hayo pia Dkt. Tulia amefanya Uzinduzi wa Ofisi ya Chama Cha Madereva na Wamiliki wa Bajaji Mbeya Jiji, Ofisi iliyopo Kata ya Ruanda Mbeya Jiji huku Benki ya PBZ Tawi la Mbeya ikimkabidhi Dkt. Tulia Bajaji Mbili na Pikipiki Nane Kwaajili ya Kuunga Mkono sera ya Tulia Trust ya Kuwainua Kiuchumi Wananchi wa Mbeya Mjini.

Screenshot 2024-11-26 161902.png
 
Sugu atulize kishundu! Kwa spidi ya huyu dada hawezi kuambulia chochote
 
Back
Top Bottom