Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
MBONA TUMESAHAU HARAKA KIASI HIKI?
Kitabu hicho hapo chini kiliandikwa kueleza na kuhifadhi yaliyotokea Zanzibar mwaka wa 2001. Nimeweka picha chache labda tutazinduka. Picha nyingine ndani ya kitabu nimejizuia kuziweka hapa.
Hizi ni picha za wale waliouliwa na watoto wadogo mayatima. Inahitaji moyo mgumu kuziangalia usitokwe na machozi. Kitabu hiki alinipa Prof. Ibrahim Haruna Lipumba na aliniandikia maneno haya:
''Dear Mohamed,
Please critically read this book and please make an effort to write your own account by interviewing survivors of the massacre.
I believe you will write even better and more vivid account.''
Signed: Ibrahim Lipumba.
Kipi kinachotafutwa Zanzibar?
Mbona tumesahau haraka kiasi hiki?
Kitabu hicho hapo chini kiliandikwa kueleza na kuhifadhi yaliyotokea Zanzibar mwaka wa 2001. Nimeweka picha chache labda tutazinduka. Picha nyingine ndani ya kitabu nimejizuia kuziweka hapa.
Hizi ni picha za wale waliouliwa na watoto wadogo mayatima. Inahitaji moyo mgumu kuziangalia usitokwe na machozi. Kitabu hiki alinipa Prof. Ibrahim Haruna Lipumba na aliniandikia maneno haya:
''Dear Mohamed,
Please critically read this book and please make an effort to write your own account by interviewing survivors of the massacre.
I believe you will write even better and more vivid account.''
Signed: Ibrahim Lipumba.
Kipi kinachotafutwa Zanzibar?
Mbona tumesahau haraka kiasi hiki?