Kwa CV hiyo mkuu utatafuta sana. Labda ujaribu uwanja wa fisi, kule unaweza kubahatika.Natafuta mdada mwenye msimamo na kujua nini maisha, naoa kabisa, Elimu yangu darasa la pili nilifukuzwa shule baada ya kumtongoza mwalimu, nikaanza kubeba zege mpaka nikapata mtaji na sasa namiliki genge kitaani kwetu. kama kweli wewe ni mdada wa kujua maisha ni nini na real life kwa ujumla ni PM anytime
Hahahahahah rekebisha cv kidogo!