Mbona Uganda iliishambulia Tanzania badala ya Kenya?

Nairoberry

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
932
Reaction score
525
Cha kushangaza TZ aikuwa na uasama wowote na Uganda kama Kenya. Idi amin alidhani TZ kuwa nchi hafifu sana isiyo na mwelekeo na kuelekeza chuki yake dhidi ya Kenya uko. Cha muhimu kujua ni kuwa aliogopa kuishambulia Kenya manake alijua ni nchi hatari sana na jeshi imara. Tz bado icho kipindi aikuwa na jeshi kamili wengi Katika TPDF walikuwa na panga na mishale aisee. Ukishangaa ya musa....
 


Labda aliogopa British Her Majesty's Armed Forces!
 
Ukishamaliza kukojoa, nenda ukalale, usisahau kuzima taa, wahi kulala kesho uwahi kwenda shule.
 
TPDF sasa inajigamba na silaha za.kichina. silaha ambazo ni copy and paste kuota Ussr. Hizi silaha hazijatumika kwa vita vyema kujulikana kama ni imara. Izo ndege sijui J9 ambazo ni mig 21 old model zaweza pigwa na kungatuliwa na jiwe tuseme mjaluo akirusha. Ndege bure kabisa. Tz wakauzwa kwa mchina wasijue la kufanya. Atleast sasa hawatumii mishale tena na panga uko.
 
Nigga you dont know anything about TPDF. Unless umesha serve, or working with them, you have no right to say anything.
+ TPDF ya sasa si ya zaman , a lot has changed. So kama una judge TPDF kwa kuangalia tv, brother you are missing something.
 
Kama sikosei utakuwa umezaliwa miaka ya tisini na 2,3,4. Hujui chochote kuhusu vita hiyo
 
Moderator, Invisible, Maxence Melo, Mod uzalendo kwanza. Huyu alimwe permanent ban kwa kuikashifu nchi yetu.
 
Muambie kwanini makundi yote yaliyokua yanampinga Idd Amin waliamua kuja kuishi Tanzania sio Kenya?, Obote, Yuweri Museven, Yusuph Lulee, na wengine wengi?, Kenya iliogopa kwamba ikiwahifadhi Amini ataiteka Kenya ndani ya mwezi mmoja.
Mmmmmh umejaribu lakini umekosa. Kenya ilisaidia Israel kwenya operation thunderbolt. Na bado Amin aliogopa kutuvamia hasira zote akaelekeza uko kagera
 
Tuliza viroba dogo. Sitishiki kwa historia. Ukweli ni kuwa idi amin dada aliamua bongo ni nchi ya kumilikiwa kiraisi
Kasome concentration camp in Kenya ujifunze nini wazungu mnao wakumbatia na kuwapa ardhi ya jeshi mpaka leo hii kabla ya kufikiria Idi Amin.
 
Mmmmmh umejaribu lakini umekosa. Kenya ilisaidia Israel kwenya operation thunderbolt. Na bado Amin aliogopa kutuvamia hasira zite akaelekeza uko kagera
Acha kutaka kupata credit za kijinga, ndege ya Israel ilitua Kenya kujaza mafuta, hiyo ndio kusaidia Israel?. Amini alipiga Tanzania kwasababu ndiyo iliyokua kitovu cha movements zote za ukombozi barani Africa. KENYA iliendelea kufanya biashara na utawala wa Amin, wakati Tanzania,ilikua ndiyo chimbuko la vuguvugu la kuangusha utawala wa Amin.
 
Tuliza viroba dogo. Sitishiki kwa historia. Ukweli ni kuwa idi amin dada aliamua bongo ni nchi ya kumilikiwa kiraisi
Then what happened to him?
Tpdf ( watanzania ) ni wamoja sana linapokuja suala la kutetea nchi yao,
Ingekuwa Kenya idi amini angehamishia ikulu Nairobi fala wewe
 
Kasome consternation camp in Kenya ujifunze nini wazungu mnao wakumbatia na kuwapa ardhi ya jeshi mpaka leo hii kabla ya kufikiria Idi Amin.
Mshafikiria kutuhusu kwa iyo mada ya KDF wanane kuuwawa na IED uko Somalia na magaidi wa al shabaab. Sasa tunaangazia TPDF kushambuliwa na UPDF. iyo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…