Mbona Wadada wengi wa Kanda ya ziwa wana Rangi zaid ya Bendera ya Taifa?

Mbona Wadada wengi wa Kanda ya ziwa wana Rangi zaid ya Bendera ya Taifa?

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Jaman mnao uza vipodozi hapa.mwanza washaulini wateja wenu ambao ni wadada maana unakuta mtu mmoja anarangi zaid ya nne jaman?

Sura ina rangi yake, mikono rangi yake,makalio rangi yake,mapaja rangi yake,migui rangi yake, jaman rangi zaidi ya nne ni hatar hata bendera ya nchi yetu ina rangi nne tu nyie mamlaka ya kuwa na rangi zaidi ya nne mmepata wapi?
 
Kwani wamekufanyaje lakini wadada wa kanda ya ziwa...??lol😅
Waache jomonii maisha yenyewe hayatabiriki sembuse rangi ya mwili😛
 
Zamu ya kanda ya ziwa nimemkumbuka felister wa malimbe
 
Nasikia hata bendera ya taifa imebuniwa huko kwa sababu watu wa huko wana rangi nne
 
Back
Top Bottom