Hahahahahaha, riadha ni mbio tu kutoka point A mpk point BRiadha haipo hata kumi Bora ya michezo inayolipa duniani.
Lakini ni mchezo wenye small skills ambapo yeyote anaweza kufanya.
Mtanzania utamjua tu. Kila akisikia mtu amekosolewa, hukimbilia kusema nedna kafanye wewe! Huku ni kukariri na inaonekana karibu kila mtanzania amekariri hili. Hujui kuwa kuna division of labour? Ukiwa mwanariadha unawakilisha nchi watu wanategemea u-perform kama wanariadha wengine kutoka nchi nyingine. Sasa huyu unayemwambia umpeleke ni mwanariadha. Hii culture ya kuuliza ''wewe utaweza?'', imeifanya nchi yetu irudi nyuma kwa kila kitu. Ni njia ya kijinga sana ya kujitetea. Back to the topic. Mwanzisha thread ana hoja ya msingi.vp tukupeleke ukamalize mbio.
Wewe kaa hivyohivyo na huo ujinga.Huo mchezo sijawahi kuuelewa kabisa Faida yake kwa Mtazamaji.
Hivi kuna faida gani kwa Taifa?
Kafanye wewe kama ni rahisiRiadha haipo hata kumi Bora ya michezo inayolipa duniani.
Lakini ni mchezo wenye small skills ambapo yeyote anaweza kufanya.
Yaan ukimkamata MMASAI yule Original anayekimbizana na Chui kule Ngorongoro ukamvisha KIBUKTA vzr ukampeleka huko kwenye kukimbiza Ushuzi umemaliza kazi.Riadha haipo hata kumi Bora ya michezo inayolipa duniani.
Lakini ni mchezo wenye small skills ambapo yeyote anaweza kufanya.
Niambie faida zake Ujinga unitokeWewe kaa hivyohivyo na huo ujinga.
Ingekuwa hivyo tungepata medali nyingi. Unaandika ujingaYaan ukimkamata MMASAI yule Original anayekimbizana na Chui kule Ngorongoro ukamvisha KIBUKTA vzr ukampeleka huko kwenye kukimbiza Ushuzi umemaliza kazi.
Tofauti na michezo kama KANDANDA. lazima uweke misingi tangia chini watu wakar darasan wasome MIFUMO.. wasome SCIENCE ya Mpira/KABUMBU....
Hakuna haja ya kukuelewesha mtu ambaye tayari umeshaonyesha dharau. Hao wanariadha unaowadharau ni matajiri kuliko wachezaji wengi wa mpira. Huyo aliyeshindwa kumaliza mbio leo ni tajiri wa kutosha.Niambie faida zake Ujinga unitoke
Inafikiaga hatua akili inataka ila mwili unagoma, huwa nashiriki hizi fun runners marathon za km 21.Riadha haipo hata kumi Bora ya michezo inayolipa duniani.
Lakini ni mchezo wenye small skills ambapo yeyote anaweza kufanya.
Kwan ishu ni nini? Ishu ni hiyo MANAGEMENT yenu haipo serious na kazi. Waende maporini huko waone watu wanavyojua kukimbiza upepo.Ingekuwa hivyo tungepata medali nyingi. Unaandika ujinga
Samahani sana.. naomba unisamehe.Hakuna haja ya kukuelewesha mtu ambaye tayari umeshaonyesha dharau. Hao wanariadha unaowadharau ni matajiri kuliko wachezaji wengi wa mpira. Huyo aliyeshindwa kumaliza mbio leo ni tajiri wa kutosha.
Mkuu una shida gani kichwani??Kafanye wewe kama ni rahisi
Huyu anabwabwaja tu , toa hoja yenye mashiko , inaonekana unawalamba sehemu hao TOC ndo maana unawatetea…pesa za maandalizi ya Olimpiki nani anatakiwa atoe? Kambi ya Olimpiki imeshawekwa? Nani anatakiwa kuweka zaidi ya hao Wauaji wa Riadha TOC???? Acha Upumbavu weweMleta uzi huna hoja yoyote ya msingi zaidi ya kwamba umeandika tu upuuzi. Kushindwa kumaliza mbio ni jambo la kawaida kwenye riadha. Kusema kwamba chanzo ni TOC kula hela ni uwendawazimu kwa sababu TOC haikai mwilini mwa mtu. Mwanariadha bora wa muda wote kwenye mbio za Nyika alivyoshindwa kumaliza mbio za nyika pale Mombasa, Kenya, je tatizo lilikuwa shirikisho la riadha Ethiopia? Elewa kuwa hata kwenye mpira kuna siku mchezaji anakua yuko vibaya inabidi atolewe na kuingizwa mwingine. Kwenye riadha hakuna substitution. Akisema alazimishe huenda haga akaaanguka na kupoteza maisha. Acheni KULALAMIKA HOVYO NA KUINGIZA SIASA. Pia mkumbuke Geay ni mwanariadha tajiri kupitia riadha hivyo kila siku kwake yeye ni ya maandalizi ya mashindano hata kama TOC hawapo.
Unaandika usichokijua. Huyo mshiriki wa Sydney Marathon ni milionea kwahiyo la kufaulishwa ndege lifute kwenye akili yako. Pia hizo mbio hazikuwa za kiserikali.Kwa huku kulivyo ukute hata ndege wamefaulishwa,
Wewe mpuuzi hiyo Sydney Marathon ni mashindano ya olimpiki? Unajua tofauti ya TOC na RT? Walaumu RT. Siku nyingine ficha upumbavu wako. Hakuna unachokijua kuhusu riadha zaidi ya siasa za chuki ulizo nazo.Huyu anabwabwaja tu , toa hoja yenye mashiko , inaonekana unawalamba sehemu hao TOC ndo maana unawatetea…pesa za maandalizi ya Olimpiki nani anatakiwa atoe? Kambi ya Olimpiki imeshawekwa? Nani anatakiwa kuweka zaidi ya hao Wauaji wa Riadha TOC???? Acha Upumbavu wewe