Sijaona tatizo kwa Mwanaume kumtambulisha huyu ni mama watoto wangu kwanza inampa Heshima kuwa amemzalia hata watoto.
Hivyo kuitwa kwa mtu mke au mume inatakiwa itoke moyoni mwake sioni kama kunatatizo kwa hilo
huyo wa kwako ndio ana matatizo ya hicho kigugumizi, wanaume wengine wako proud na wake zao wanawaentitle 'mke wangu' anywhere everywhere anytime everytime.
ok.mimi nilidhani pengine kutamka mke wangu ina heshima zaidi
Naunga mkono hoja, na mimi nina tatizo hili yaani namwita mke wangu jina lake kabisa na wala simwiti mke wangu au mama fulani/watoto. Ila yeye hupenda kuniita baba fulani(mtoto wetu) au nae huniita kwa jina langu na mambo yanakwenda vizuri, yaani raha tu.
Nyie wenzetu wa honey, sijui sweet heart or baby endeleeni tu wengine uzungu/kutumia kiingereza eti ndio kunogesha penzi hatutaki/hutuamini hivyo.
Naunga mkono hoja, na mimi nina tatizo hili yaani namwita mke wangu jina lake kabisa na wala simwiti mke wangu au mama fulani/watoto. Ila yeye hupenda kuniita baba fulani(mtoto wetu) au nae huniita kwa jina langu na mambo yanakwenda vizuri, yaani raha tu.
Nyie wenzetu wa honey, sijui sweet heart or baby endeleeni tu wengine uzungu/kutumia kiingereza eti ndio kunogesha penzi hatutaki/hutuamini hivyo.
Wakuu bila shaka mtakubaliana nami kuwa wanawake hutambulisha waume zao bila kuuma maneno yaani 'huyu ndiye mume wangu'. Kwa upande wa wanaume hali naona huwa tofauti kwani utawasikia 'huyu ndo shemeji yako' huyu ndo mama watoto' huyu ndo mamsap' huyu ndo mama polisi' n.k. Akijitahidi sana utasikia 'huyu ndo my wife'. Hivi tatizo ni nini wanandoa wenzangu?
Naunga mkono hoja, na mimi nina tatizo hili yaani namwita mke wangu jina lake kabisa na wala simwiti mke wangu au mama fulani/watoto. Ila yeye hupenda kuniita baba fulani(mtoto wetu) au nae huniita kwa jina langu na mambo yanakwenda vizuri, yaani raha tu.
Nyie wenzetu wa honey, sijui sweet heart or baby endeleeni tu wengine uzungu/kutumia kiingereza eti ndio kunogesha penzi hatutaki/hutuamini hivyo.