Mbona wasanii wakubwa wa kimarekani hawana body guard,iweje visanii vyetu vina body guard 6?

eddy brown

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
414
Reaction score
314
Nimefatilia sana hili jambo na kukosa jibu.Kwanini baadhi ya wasanii wetu hawajiamini sijui.Kaja Bill Gates tajiri mkubwa duniani,kenda vijijini na hana body guard hata mmoja,sisi kulikoni?
 
Kama msanii gani mkubwa wa kimarekani asiye na walinzi?
Bill gates hana ulinzi? Hatembei na walinzi? smh!!
 
Kama msanii gani mkubwa wa kimarekani asiye na walinzi?
Bill gates hana ulinzi? Hatembei na walinzi? smh!!
Jay Z hana mlizi,mbona wengi tu mi nshakuwa nao wakati niko kule.
 
Bill gates anao,Mark Zuckerburg anao,Jay Z na Beyonce wanao wa kumwaga,Kendrick lamar anao,Kim Kardashian anao tena wale wastaafu kutoka FBI,Kendrick Lamar anao .Maraper wote wakubwa wa USA wanao mabodyguards,Mywether anao wa kumwaga.
 
Walinzi wao wanatumia technology sana kuliko wa kwetu so huwez kuwaona na kuwajua kiurahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…