R.KELLY,P.DIDY,MARIAH KELLY,TONY BRAXTON,SNOOPY DOGY DOGY,JERMAINE DUPRI, hawa wanamziki kwa sasa age yao inagonga miaka 45 to 50. lakini bado wanakamua na song kali hatari,tofauti na wasanii wetu wa bongofleva wao wakishafika umri wa miaka 35 to 37 wanakua wamechoka na kustaafu mziki na kuitwa wakongwe.swali kwa nini wasanii wetu wanaanza kuchoka kimziki wakiwa bado vijana? mbona kina p.didy wana 45 lakini wanakumua mbaya?
Unatarajia nini
hahahahahahahaha akikujibu niite!!!
hahahahahahahaha akikujibu niite!!!
Unatarajia nini
Kwasababu wanaoa vizee
Unatarajia nini
kitu photoshop
Et Photoshop shigongo hawezi Fanya ujinga Kama huo