Mbona Watu Hawahoji Kuhusu CV ya Huyu?



mlaizer,
hii inafanana na ya waberoya mbona!?
?
 

Heshima kwako Waberoya,

Mkuu umemaliza kila kitu mara nyingi sana kama si zote naheshimu sana michango yako kwasababu moja kubwa umeweka ushabiki wa vyama pembeni haufungwa na ushabiki wa chama chochote.
 
Wakuu inatosha!!!!Kama hajawaelewa basi!!!! Turudi sasa kwenye mjadala wa HOTUBA YA JK.
 


Mlaizer,

Hii mbona inaharufu ya Waberoya !.
 
Doctor of Canon Law

From Wikipedia, the free encyclopedia

Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor; J.C.D.) is the doctoral-level terminal degree in the studies of canon law of the Roman Catholic Church.
It may also be abbreviated I.C.D. or dr.iur.can. (Iuris Canonici Doctor), ICDr., D.C.L., D.Cnl., D.D.C., or D.Can.L. (Doctor of Canon Law). Doctor of both laws (i.e. canon and civil) are J.U.D. (Juris Utriusque Doctor), or U.J.D. (Utriusque Juris Doctor).
A doctorate in canon law normally requires at least two years of additional study and the development and defense of an original dissertation that contributes to the development of canon law after having earned the degree Licentiate of Canon Law. Only pontifical universities and ecclesiastical faculties of canon law may grant the doctorate or licentiate in canon law.
The Licentiate of Canon Law is a three-year degree, the prerequisite for the study of which is normally the graduate level bachelor of sacred theology (S.T.B.), a master of divinity (M.Div.), a master of arts in Roman Catholic theology (M.A.), or a civil law degree (J.D. or LL.B.) and a bachelor degree in canon law (J.C.B.) or its relative equivalent.
While not a civil law degree, the doctor of canon law is in some ways comparable to the Doctor of Juridical Science (J.S.D.) or doctor of laws (LL.D.) in terms of academic level of study as they are terminal academic degrees.
Members of the Supreme Tribunal of the Apostolic Signatura, Auditors of the Tribunal of the Roman Rota, judicial vicars, ecclesiastical judges, defenders of the bond, and promoters of justice, must possess either a doctorate or license in canon law. Either of the degrees is recommended for those who serve as vicar general or episcopal vicar in a diocese. Candidates for bishop must either possess the doctorate in canon law or the doctorate in sacred theology or be truly expert in one of those fields. Canonical advocates must possess the doctorate or be truly expert.
The Roman Church has the oldest continuously used homogenous legal system in the world. Following the Gregorian Reform's emphasis on canon law, bishops formed cathedral schools to train the clergy in canon law. Consequently, many of the medieval universities of Europe founded faculties of canon law (e.g., Cambridge and Oxford). Since the Protestant Reformation, however, they became limited to those universities which retained Catholic faculties (e.g., Pontifical University of St. Thomas Aquinas (Angelicum), Gregorian University, Catholic University of Louvain, Faculty of Canon Law "S. Pio X" in Venice). Other Catholic universities with ecclesiastical faculties in canon law were subsequently given the ability to grant the degree (e.g., The Catholic University of America, University of Saint Paul). The University of Santo Tomas in Manila, Philippines, has been awarding the degree since 1734.
 

Doh hadi na mie nimesmile,gud
 

Mkuu asante kwa ku-copy post yangu , ila at leat ungefanya justice kidogo tu, najua umefanya makusudi kuwa unani-support( isn't it) However in big society like this is better to be straight watu wanaweza kufikiri wewe ndio mimi!

Kindly say something!
 
akili yake tu ni cv ya kutosha, kwasababu anayo akili kuliko maprof wa udsm watano...kwa pamoja wote hawamzidi...upo hapo?
 
Nadhani Jesuit kaelewa somo, kuwa huyu ni DR wa kweli
cert kwa miaka 6 then PhD kwa miaka 4.
 
Where is "the Jesuit" ahitimishe.
AU NA YEYE NI WALE WALE ...hawaelewi hata ukiwaelewesha vipi.
 

We nawe umetoka wapi? unataka mtu asome Advance Diploma hapohapo unataka uone Bachelor degree?
 
We nawe umetoka wapi? unataka mtu asome Advance Diploma hapohapo unataka uone Bachelor degree?

Kwa hili hata mimi nisieijua siasa nitahoji. Tatizo ninaliona ni vile mtu anatafuta jibu la swali fulani wakati akilini mwake kashajiwekea jibu. Hata akikutana na jibu linapingana au tofauti na anavyoamini/anavyojua basi atang'ang'ania mpaka lile alilonalo liwe ndio jibu. Wakati sio kweli......

Advanced Diploma ni equivalent to degree kwa Tanzania yetu mpaka sasa, achilia mbali wakati huo wa akina Dr!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…