Mbona wenzake wanajua ku-balance mapenzi yao ya Simba na Yanga inapokuja issue ya team nyingine?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Washabiki wa timu ya kanjibah buana! Rage alisema ukweli kabisa [emoji2][emoji2]
Washabiki wa Mwarabu mkwepa kodi akili zenu ziko mawaliwatoni,Luc alikuwa sahihi kabisa
 
Kwa nini usinywe tu sumu ili ufe! Maana hata umchukie vipi, haisaidii chochote! Mwenzako maisha yanaendelea, huku wewe ukizidi tu kufa kidogo kidogo kwa msongo wa mawazo na magonjwa ya moyo.
Chuki za mleta nyuzi ziko wapi hapa au kudhihirisha uongo wa mwanahabari uchwara ndo chuki? Kwani ni uongo huyo kitenge ajaleta habari za uongo kuhusu kamwaga? Acha hizo wewe hata kama ni mapenzi yako na utaputapu fc lkn linapokuja suala kama hili ni bora kukaa kimya kuliko ushubwada ulioandika
 
Mkumbuke Maulid baraka wa Kitenge ni mwandishi aliye base kwenye tetesi, basi kama tetesi zake zinaumiza sana chakufanya chomoa na utafute saizi yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…