mbona yumo kwa waliokosa vyuo?

mbwea

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
262
Reaction score
318
kuna washkaji zangu wawili wamo kwenye selection za udsm pia wamo
kwa waliokosa vyuo hapo vipi?
 
hujakosea kujiita mbwea ..mbweha mkubwa we.!
 
Last edited by a moderator:
sio mbwea ni limbwea
hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahàhháhháhhàháhahhaháhahàhháhahahhahah prof.majutomperungu,yani nimecheka hadi basi huyo mbweha mwambie aende porini akaishi na fisi na mbweha wenzie by mpigamsuli
 
hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahàhháhháhhàháhahhaháhahàhháhahahhahah prof.majutomperungu,yani nimecheka hadi basi huyo mbweha mwambie aende porini akaishi na fisi na mbweha wenzie by mpigamsuli

haha ametoroka porini huyu mbwea
 
hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahàhháhháhhàháhahhaháhahàhháhahahhahah prof.majutomperungu,yani nimecheka hadi basi huyo mbweha mwambie aende porini akaishi na fisi na mbweha wenzie by mpigamsuli

hahahahah mbweaaaaaa oyo mpigamsul ni pm
 
nasikia haruf ya BAN kwa mbaaaaaal!!!!!!!
 
nasikia haruf ya ban kwa mbaaaaaal!!!!!!!
wewee lordville mtu mwenyewe anataka kujaribu watu kirahisirahisi so huwez kula ban coz hata mleta mada nae alistahili ban kwa kuleta vitu vya kufikirika
 
kuna washkaji zangu wawili wamo kwenye selection za udsm pia wamo
kwa waliokosa vyuo hapo vipi?

Ni kweli kabisa jamani ,, hata mimi kuna mtu jina lake lilitoka kwenye wale ambao hawakuchaguliwa lakini jina lake limetoka tena kwenye selection za UDOM...... na kama kuna mtu anabisha aseme nimpe hilo jina hapa sasa hivi..........
 
acheni ubishi wa kijinga nyie ,,, ni kweli kabisa kuna watu majina yao yalitoka kule kwenye ambao hawajachaguliwa ,,, na pia tena wamekuja kupata post zao.... na kama ukitaka mifano useme nikupe hapahapa
 
Sasa hao inabidi wawe mfano kwa wanaoyaamini hayo majina magmash yaliyotoka ya UDSM, kama vp waambie wa log in kwa user zao TCU wapate huakika zaidi maana me nilishasema kuna watu watalia na majina ya UDSM fake maana mmnh ngoja nifunge bakuri langu kwanza utanipa report wamekutana na nini kwa user zao za TCU afta log in
 
Ni kweli kabisa jamani ,, hata mimi kuna mtu jina lake lilitoka kwenye wale ambao hawakuchaguliwa lakini jina lake limetoka tena kwenye selection za UDOM...... na kama kuna mtu anabisha aseme nimpe hilo jina hapa sasa hivi..........

Huyo aliomba 2nd application,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…