BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Sema huelewi, tandam ni hisi fuso zenye (long base) dabo taili nyuma na zimeongezwa bodi kuwa kubwa kwenda juu na ulefu nyingi zinatengeneziwa moshi hapa stand ya mboya na chugaHayo malori yanayovuta tela yamezoeleka kwa jina la pulingi, ukiliita tandamu watacheka mpaka kesho make huku chattle tushaaminishwa tandamu ni fuso
Kwa hiyo bila shaka neno tandam limetokana na zile double tyres au sioSema huelewi, tandam ni hisi fuso zenye (long base) dabo taili nyuma na zimeongezwa bodi kuwa kubwa kwenda juu na ulefu nyingi zinatengeneziwa moshi hapa stand ya mboya na chuga
Afu puling ni roli ( scania n.k) ambayo kibidini imeungana na bodi ambayo imefunika juu na inavuta tela pia iloyofunika kama picha ya aliyeanzisha thread hapo juu ambayo inaweza beba hadi tani 49 adi 50
Nazani cos yenye single tyres ina inaitwa fuso tu kawaida ila yenye double inaitwa tandamKwa hiyo bila shaka neno tandam limetokana na zile double tyres au sio
KWA MIMI NDUGU YANGU TANDAM NI MZIGOO..ULE AUPENDAO SHEIKH KIPOZEOAnamaanisha lori lenye double trailers (kama unavyoona hapo pichani. Kwa lugha ya kizungu neno hilo TANDAMU ambalo watanzania wengi hasa kwenye sekta ya usafirishaji hupenda kulitumia linatokana na neno TANDEM.
Neno Tandem hasa lilianzia kwenye baiskeli za TANDAMU (hiyo pichani) ambazo huendeshwa na watu wawili(ni nadra kuziona Afrika aina hii ya baiskeli.
Aidha neno hilo hilo tandem au TANDAMU kama wabongo tunavyopenda kulitamka linaweza kumaanisha vitu pacha vyovyote vinavyoenda kwa kufuatana kwa mfano gari la kukandamiza ardhi hilo hapo pichani ambalo ni TANDEM Vibrator roller au Injini za ndege mfuatano kama hizo ambazo kibongo tutaziita INJINI TANDAMU!
Pia, neno hili TANDAMU kwenye lugha ya kiingereza hutumika kukamilisha senntensi inayomaanisha jambo,vitu au watu fulani vinaenda au wanaenda kwa kufuatana/kuambatana kwa mfano the horses ran in tandem au New Force and Sauli buses moved in tandem.... nk nk Wabongo kwa kutohoa nawapa salyuti!!
!View attachment 1468110View attachment 1468111View attachment 1468112View attachment 1468113
Hii sasa ndio Tandamu yenyewe sio hio mifano yako hahaahaa kule Usukumani tuinapenda sana TandamuTandam ni kama hiliView attachment 1468514
We jaluo ya kweli haya!? vipi huko kenya wanawake wenye wezele ndo mnaita tandamu!,!?Achana na hizo tafsiri za ulaya ukija nazo bongo utapotea. Kifupi Tandam kibongobongo ni fuso iliyorefushwa bodi au mwanamke mwenye wezere kubwa basi. Hizo baiskeli na scania sijui injini za ndege waachie wazungu. Wakiita hivyo wao inatosha.