mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
kwanza nampongeza kwa kuanzisha icho kipindi cha talk show.....
kilianza kwa mbwembwe nyingi ikiwa ni pamoja na kuwatafuta maceleb hot wa bongo afanye nao interview.........
kwa muda mchache niliopata nafas ya kukiangalia nimegundua kuwa kipindi hiki kimepoteza mvuto haraka sana...........
nachelea kusema ni kukosekana kwa creativity na handling capabilities or ni nini hasa?
kama ni location is fine,even wageni wapo fine ila kuna kitu kinamiss.............sio show unayoweza kukaa ukaconcentrate kama MKASI
mkasi wala haina jipya sana na wala huwa haina mada maalum........na hawatumii nguvu kama anayotumia Mboni.........
Mboni kaa chini jipange.....angalia show za wenzako za nje zilivyo na msisimko mwanzo mwisho..........otherwise ata upange maceleb mia studio haitasaidia...........
jipange
kilianza kwa mbwembwe nyingi ikiwa ni pamoja na kuwatafuta maceleb hot wa bongo afanye nao interview.........
kwa muda mchache niliopata nafas ya kukiangalia nimegundua kuwa kipindi hiki kimepoteza mvuto haraka sana...........
nachelea kusema ni kukosekana kwa creativity na handling capabilities or ni nini hasa?
kama ni location is fine,even wageni wapo fine ila kuna kitu kinamiss.............sio show unayoweza kukaa ukaconcentrate kama MKASI
mkasi wala haina jipya sana na wala huwa haina mada maalum........na hawatumii nguvu kama anayotumia Mboni.........
Mboni kaa chini jipange.....angalia show za wenzako za nje zilivyo na msisimko mwanzo mwisho..........otherwise ata upange maceleb mia studio haitasaidia...........
jipange