Mbosso anapania sana kwenye nyimbo zake: Wimbo huu umeniimbia kabisa!

Mbosso anapania sana kwenye nyimbo zake: Wimbo huu umeniimbia kabisa!

kajamaa kadogo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2018
Posts
2,707
Reaction score
6,437
Huyu jamaa naona anapania sana kwenye nyimbo zake kuna moja ya mistari yake unasema

"vishavu vimeanza kunona kitambi ndo hiki sasa ona nanenepa nanenepa na nami nimempata chioma"

Bwana mbosso huu wimbo umeniimbia mimi kabisa 🤣🤣🤣
channels4_profile.jpg
 
Huyu jamaa naona anapania sana kwenye nyimbo zake kuna moja ya mistari yake unasema

"vishavu vimeanza kunona kitambi ndo hiki sasa ona nanenepa nanenepa na nami nimempata chioma"

Bwana mbosso huu wimbo umeniimbia mimi kabisa 🤣🤣🤣View attachment 3198355
Upuuzi zaidi ya kiwango Cha SGR...Kwa hiyo unataka watu wachangie huu upuuzi...usitujazie server Kwa mambo ya hovyo...
 
Back
Top Bottom