kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
Huyu jamaa naona anapania sana kwenye nyimbo zake kuna moja ya mistari yake unasema
"vishavu vimeanza kunona kitambi ndo hiki sasa ona nanenepa nanenepa na nami nimempata chioma"
Bwana mbosso huu wimbo umeniimbia mimi kabisa 🤣🤣🤣
"vishavu vimeanza kunona kitambi ndo hiki sasa ona nanenepa nanenepa na nami nimempata chioma"
Bwana mbosso huu wimbo umeniimbia mimi kabisa 🤣🤣🤣