brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Msanii mbosso amesema hakuna sehemu nimesema nimenunua nyumba nilichofanya ni kuwashukuru mashabiki wangu walioniwezesha nimepata nafasi ya kujiifadhi lakini sijasema nimenunua nyumba.
Hatahivyo mbosso amemjia juu Mwijaku ambae alisema nyumba hiyo amepanga na amedanganya umma
Mbosso amesema haiwezekani mwanaume mzima unaenyoa kipara unafutilia Mambo ya mwanaume mwezio na kuropoka inawezekana sio mwenzetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatahivyo mbosso amemjia juu Mwijaku ambae alisema nyumba hiyo amepanga na amedanganya umma
Mbosso amesema haiwezekani mwanaume mzima unaenyoa kipara unafutilia Mambo ya mwanaume mwezio na kuropoka inawezekana sio mwenzetu
Sent using Jamii Forums mobile app