Mimi Jana nilisema wasanii wa bongo waamini kwenye viunganishi vya maneno tu kama wa,na,kwa n.k siyo sentensi nzima!!...wana maisha ya maigizo sana
Write your reply...hivi huyo mwijanku ni msanii wa kitu gani??
nimeuliza tuu
The bartender🏄🏄Hakusema km Nyumba ni yake jamani.. Yy Ameshukuru mashabiki zake kwa support wanayompa hadi kufikia kupata makazi mazuri.. Huenda zaman alikua anakaa kwenye mazingira Duni, Mbosso hana tabia za majigambo, kuna interview moja niliona Rommy jones aliulizwa tabia ya kila member wa WCB na alieleza sifa zao, Mbosso pekee ndie alietajwa kwamba anahofu ya Mungu mno.
Sallam hana nyumba ana kiwanja tu Mbweni Kijijini bado hajajenga ila ana mpango wa kujenga ghorofa kwa mujibu wa mtu anayemuagalizia eneo lake.Kwani Sallam ananyumba kama hiyo
Niliona mbosso alipost instagram kwamba anamiliki mjengo na alisema kabisa inawezekana kwa wengine ni kidogo ila kwake ni kitu kikubwa sana hadi diamond,rayvan wakampogeza kwa mjengo huku wakimwambia unastahili huo mjengo labda kama ameifuta hiyo post,lakini kwa mujibu alivyopost alikuwa anautaarifu umma kwamba suport yao imempa mjengo.Hakusema km Nyumba ni yake jamani.. Yy Ameshukuru mashabiki zake kwa support wanayompa hadi kufikia kupata makazi mazuri.. Huenda zaman alikua anakaa kwenye mazingira Duni, Mbosso hana tabia za majigambo, kuna interview moja niliona Rommy jones aliulizwa tabia ya kila member wa WCB na alieleza sifa zao, Mbosso pekee ndie alietajwa kwamba anahofu ya Mungu mno.
Vp harmonize ashapata nyumba yake, maana kama shilole ananyumba inakuaje wao wakose nyumba wakati WCB inajina kubwa sanaSallam hana nyumba ana kiwanja tu Mbweni Kijijini bado hajajenga ila ana mpango wa kujenga ghorofa kwa mujibu wa mtu anayemuagalizia eneo lake.