Mbosso asema sijasema nimenunua nyumba amjia juu Mwijaku

Kuna watu wapo free sana aisee! unapata wapi muda wa kuanza kufuatilia maisha ya mtu? Nyumba kama yake au sio yake,wewe inakusaidia nini?!
Fainali uzeeni,tuutumie vizuri muda wetu tunaojaaliwa na Mungu.
 
Vp harmonize ashapata nyumba yake, maana kama shilole ananyumba inakuaje wao wakose nyumba wakati WCB inajina kubwa sana
Wasanii wengi ni Magumashi,Wengi wana nyumba insta,facebook na whatsapp tu.
 
Mwinjaku anapenda USHAKUNAKU anajifanya anajua kila kitu na SILKA yako mbovu unajiweka mbali na sifa ya URIJALI.wanakushangaa wasokujua kirehre here chako umefuzu maana hujaanza leo toka enzi upo UDSM mpaka wanazengo wakabandika picha kukuhusisha na tuhuma za UDELICIOUS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…