Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Kampuni ya maziwa ya @TangaFresh leo Septemba 17, 2020, imeingia mkataba na msanii wa bongo fleva @mbosso_ kuwa balozi wa bidhaa za maziwa ya kampuni hiyo, kushoto kwenye picha ni Alex Chonge meneja masoko wa kampuni hiyo.