Mbosso ni msanii full package, the next future Star

Mbosso ni msanii full package, the next future Star

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Wakuu,

Kwa mwanzo huyu jamaa hakueleweka sana alipoingia wasafi tofauti na alipokuwa yamoto. Hata mimi sikuwa namkubali Sana wala kumfuatilia sana ila nimekuja kuona na kugundua huyu ni msanii full package kabisa.

Anaimba ngoma za aina nyingi sana, hii tulizana remix aliyoimba na njenje Band wenye huo wimbo kwa kweli nina imani utakukosha sana. Na uzuri namba zake zinaongea anakimbiza sana huyu dogo. Sio bosi wake anatuimbia sijui "magodoro yameloana" then what?

Mtakuja kuniambia baadae kuhusu haya.
 
Pale ndio yupo kwenye kilele cha mafanikio mdau hakuna jipya tena mbeleni.....
 
Siku hizi wasafi wana imba Ngoma za mana Sana Na mashaili mazuri Sanaa amesikika mla ungaa umoja akiongea hivo
 
Kuna nyimbo zake nimezitoa youtube zipo kama dazen hivi. Kiukweli dogo anaimba. Ana ujumbe. Anajua kuigiza. Awali nami nilikuwa simkubali ila siku zilivyosonga nilimkubali sana
 
"Mi nawe mpaka kiama tuombe uzima
Waroge kwa kuchutama na wasimame wima"

mbosso akiimba mapenzi [emoji28][emoji28] anashawishi sana
 
Back
Top Bottom