Pre GE2025 Mbowe acha utoto, wanachama wamekufuata nyumbani kwako ghafla lakini wamekuta hema, viti, soda na maji, acheni utani jamani

Pre GE2025 Mbowe acha utoto, wanachama wamekufuata nyumbani kwako ghafla lakini wamekuta hema, viti, soda na maji, acheni utani jamani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Joined
Nov 27, 2024
Posts
43
Reaction score
127
Vyombo vya habari vinaripoti kuwa wanachama wamevamia nyumbani kwa mBOWE kumsihi achukue fomu za kugombea uenyekiti wa chama hicho ili akamkabili msanii Tundu Lissu.

1734523641696.jpeg

Pia soma: Kuelekea 2025 - Wafuasi CHADEMA wavamia nyumbani kwa Mbowe kumlazimisha achukue Fomu ya kugombea Uenyekiti

Yapo mambo ya kujiuliza na kufikirisha sana, kwanza huko nyumbani kwake Mbowe Mikocheni kumeshaandaliwa hema likiwa tayari na viti, maspika na podium ya kuongea, pili bodaboda tangu jana walikuwa wanahamasishwa kuna mafuta na posho ya bure kwenda nyumbani kwa Mbowe, aliyenfanya kazi hiyo ni mwenyekiti wa bodaboda mikocheni, tatu, kwenye nyumba ya mbowe kuna soda na maji kwa wageni.

Hilo ni jambo la kushtukiza kweli? Shame on you
 
Vyombo vya habari vinaripoti kuwa wanachama wamevamia nyumbani kwa mBOWE kumsihi achukue fomu za kugombea uenyekiti wa chama hicho ili akamkabili msanii Tundu Lissu.


Pia soma: Kuelekea 2025 - Wafuasi CHADEMA wavamia nyumbani kwa Mbowe kumlazimisha achukue Fomu ya kugombea Uenyekiti

Yapo mambo ya kujiuliza na kufikirisha sana, kwanza huko nyumbani kwake Mbowe Mikocheni kumeshaandaliwa hema likiwa tayari na viti, maspika na podium ya kuongea, pili bodaboda tangu jana walikuwa wanahamasishwa kuna mafuta na posho ya bure kwenda nyumbani kwa Mbowe, aliyenfanya kazi hiyo ni mwenyekiti wa bodaboda mikocheni, tatu, kwenye nyumba ya mbowe kuna soda na maji kwa wageni.

Hilo ni jambo la kushtukiza kweli? Shame on you
MTAONA MENGI SANA MWAKA HUU Erythrocyte TUPASHE KULIKONI KWA ADUBAKAR TENA?
 
Vyombo vya habari vinaripoti kuwa wanachama wamevamia nyumbani kwa mBOWE kumsihi achukue fomu za kugombea uenyekiti wa chama hicho ili akamkabili msanii Tundu Lissu.


Pia soma: Kuelekea 2025 - Wafuasi CHADEMA wavamia nyumbani kwa Mbowe kumlazimisha achukue Fomu ya kugombea Uenyekiti

Yapo mambo ya kujiuliza na kufikirisha sana, kwanza huko nyumbani kwake Mbowe Mikocheni kumeshaandaliwa hema likiwa tayari na viti, maspika na podium ya kuongea, pili bodaboda tangu jana walikuwa wanahamasishwa kuna mafuta na posho ya bure kwenda nyumbani kwa Mbowe, aliyenfanya kazi hiyo ni mwenyekiti wa bodaboda mikocheni, tatu, kwenye nyumba ya mbowe kuna soda na maji kwa wageni.

Hilo ni jambo la kushtukiza kweli? Shame on you

Mbowe alishalambishwa na sasa anacheza Sanaa; Hana maana!
 
Umaskini mbaya sana inamaana nyumbani kwako ww akuna maji, juice na soda?
Tafuta pesa utaona kawaida MNO.
All the best
Uko sahihi kwake atakuwa na kimeza tu na kistool sebuleni

Kuna nyumba watu wageni kitu cha kawaida tu na viti anakuwa navyo kibao na hema anakuwa nalo la kupaki gari zake zisipigwe na jua

Vinnywaji vinakuwepo full time kibao
 
Vyombo vya habari vinaripoti kuwa wanachama wamevamia nyumbani kwa mBOWE kumsihi achukue fomu za kugombea uenyekiti wa chama hicho ili akamkabili msanii Tundu Lissu.


Pia soma: Kuelekea 2025 - Wafuasi CHADEMA wavamia nyumbani kwa Mbowe kumlazimisha achukue Fomu ya kugombea Uenyekiti

Yapo mambo ya kujiuliza na kufikirisha sana, kwanza huko nyumbani kwake Mbowe Mikocheni kumeshaandaliwa hema likiwa tayari na viti, maspika na podium ya kuongea, pili bodaboda tangu jana walikuwa wanahamasishwa kuna mafuta na posho ya bure kwenda nyumbani kwa Mbowe, aliyenfanya kazi hiyo ni mwenyekiti wa bodaboda mikocheni, tatu, kwenye nyumba ya mbowe kuna soda na maji kwa wageni.

Hilo ni jambo la kushtukiza kweli? Shame on you
...'Msanii Tundu Lisu'...!
Ina maana na wewe ni chawa pia!
 
Vyombo vya habari vinaripoti kuwa wanachama wamevamia nyumbani kwa mBOWE kumsihi achukue fomu za kugombea uenyekiti wa chama hicho ili akamkabili msanii Tundu Lissu.


Pia soma: Kuelekea 2025 - Wafuasi CHADEMA wavamia nyumbani kwa Mbowe kumlazimisha achukue Fomu ya kugombea Uenyekiti

Yapo mambo ya kujiuliza na kufikirisha sana, kwanza huko nyumbani kwake Mbowe Mikocheni kumeshaandaliwa hema likiwa tayari na viti, maspika na podium ya kuongea, pili bodaboda tangu jana walikuwa wanahamasishwa kuna mafuta na posho ya bure kwenda nyumbani kwa Mbowe, aliyenfanya kazi hiyo ni mwenyekiti wa bodaboda mikocheni, tatu, kwenye nyumba ya mbowe kuna soda na maji kwa wageni.

Hilo ni jambo la kushtukiza kweli? Shame on you
Hii I'd mpya ni ya John Pambalu.
 
Back
Top Bottom