Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 239
WanaJF:
Habari nilizopata sasa hivi kutoka jimbo la Hai ni kwamba Mbowe amefukuzwa jimboni humo na wafuasi wake WanaChadema. Wamemwambia aondoke aende kumsaidia Dr Slaa na wengine katika kampeni zao, kwani humo jimboni mwake Hai, kishamaliza kazi -- watampa kura 100%.
Mkuu acha hizo! Kidogo unifanye niweweseke!
WanaJF:
Habari nilizopata sasa hivi kutoka jimbo la Hai ni kwamba Mbowe amefukuzwa jimboni humo na wafuasi wake WanaChadema. Wamemwambia aondoke aende kumsaidia Dr Slaa na wengine katika kampeni zao, kwani humo jimboni mwake Hai, kishamaliza kazi -- watampa kura 100%.
Habari nilizopata sasa hivi kutoka jimbo la Hai ni kwamba Mbowe amefukuzwa jimboni humo na wafuasi wake WanaChadema. Wamemwambia aondoke aende kumsaidia Dr Slaa na wengine katika kampeni zao, kwani humo jimboni mwake Hai, kishamaliza kazi -- watampa kura 100%.
Kama Zito Kabwe. Hayo ni majembe ya ukweli.Hai inajulikana kwamba Mbunge wa CCM ndugu Fuya Kimbita hapati hata kwa kutambika. Ukweli ni kwamba Mbowe Hai amemaliza na kama ataendelea na kampeni ni waste of resources. Ila hapo tusiseme amefukuzwa bali ameongezewa majukumu baada ya kufanya vizuri:smile-big:
Lugha safi sana, itawafanya hata wakina MS wasome wakifikiri chichiem inashinda huko Hai.Duh! Hata mimi kajasho kalianza kunitoka. Jamaa katumia lugha ya aina yake; mpaka usome ndo uelewe. Lah!
WanaJF:
Habari nilizopata sasa hivi kutoka jimbo la Hai ni kwamba Mbowe amefukuzwa jimboni humo na wafuasi wake WanaChadema. Wamemwambia aondoke aende kumsaidia Dr Slaa na wengine katika kampeni zao, kwani humo jimboni mwake Hai, kishamaliza kazi -- watampa kura 100%.
WanaJF:
Habari nilizopata sasa hivi kutoka jimbo la Hai ni kwamba Mbowe amefukuzwa jimboni humo na wafuasi wake WanaChadema. Wamemwambia aondoke aende kumsaidia Dr Slaa na wengine katika kampeni zao, kwani humo jimboni mwake Hai, kishamaliza kazi -- watampa kura 100%.
WanaJF:
Habari nilizopata sasa hivi kutoka jimbo la Hai ni kwamba Mbowe amefukuzwa jimboni humo na wafuasi wake WanaChadema. Wamemwambia aondoke aende kumsaidia Dr Slaa na wengine katika kampeni zao, kwani humo jimboni mwake Hai, kishamaliza kazi -- watampa kura 100%.