Mbowe ajitenge na watuhumiwa wenzake

Mbowe ajitenge na watuhumiwa wenzake

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
2,428
Reaction score
3,937
Katika ufuatiliaji mdogo wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, nimeona mapungufu makubwa ambayo niliwahi kuelezea humu ndani. Wengine walisema sijui kitu na kwamba ile ilikuwa tu kesi ndogo na kuwa wanaenda kuiangusha serikali. Nikasema tusubiri tuone.

Leo nitagusia njia mojawapo inayoweza kuipa Serikali mwanya wa kumuachia huru Mbowe na kulinda sura zao. Tukumbuke siku zote Serikali haipendi kuumbuka.

Kabla sijaelezea hilo ngoja niwakumbushe kidogo kesi moja iliyokuwa inamkabili producer wa muziki wa Marekani Sean Combs, maarufu kama Puff Daddy pamoja na msanii wake aliyekuwa anajulikana kama Shyne. Ilikuwa ni kesi ya kurusha risasi ndani ya club ya usiku.

Baada ya kugundua kuwa ni lazima kuna mtu inabidi afungwe katika kesi ile (nadhani kuna mtu alikufa na majeruhi kadhaa) alichofanya Wakili wa Sean Combs, ilikuwa ni kuwatenganisha Sean Combs na Shyne. Kila mmoja akawa anawakilishwa na Wakili wake. Ilikuwa kama ni kumtoa kafara Shyne.

Nashangaa sana mpaka sasa kwa Mawakili wa CHADEMA kutochukua tahadhari za kutosha kumlinda Mbowe. Hili nililielezea vizuri huko nyuma. Katika hatua hii, njia mojawapo wanayoweza kuchukua ni hii ya kuwa na mawakili tofauti kwa Mbowe na wale walinzi wake. Ikiwezekana Mawakili wa walinzi wapunguzwe sana.

Mbowe ni mtu mkubwa sana kupewa uwakilishi sawa na wale walinzi wake hata kama mashitaka dhidi yao yanafanana.

Pia hii itaipa mwanya Serikali kujua pa kuangukia kama wakiona kabisa kuwa lazima afungwe mtu (hata kama ili tu waepuke aibu). Kafara ya wale walinzi siyo kubwa sana kwa uhuru wa Mwenyekiti Mbowe.

Nawasilisha hoja.
 
Acha kutia watu ujinga. Kesi hii ni ya kubumba iko wazi wazi, Mashahidi wa Mashtaka wanajikanyaga na wanaonekana kua waongo.

Kweli wakimfunga Mbowe atatoka tu muda si mrefu maana hana kosa, Wakiwafunga mlinzi atatoka maana hana kosa. Kwani hivyo vituo vya mafuta walilipua? Maandamano wakifanya? Walimdhu Jambazi Sabaya?

Mbowe hawezi kujitenga na wale vijana kwa sababu walikamatwa na wako magereza kwa ajili yake. Mungu atatenda makuu maana dhambi haina maisha marefu. Kwahiyo acha kujaza watu ujinga wewe hujui kitu
 
Kila mshtakiwa ana mawakili wake, mwanzoni walikuwa natetewa kwa pamoja, walipogundua maelezo ya mshtakiwa wa pili yanamtaja Mbowe wakaomba kutenganisha mawakili
 
Katika ufuatiliaji mdogo wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, nimeona mapungufu makubwa ambayo niliwahi kuelezea humu ndani. Wengine walisema sijui kitu na kwamba ile ilikuwa tu kesi ndogo na kuwa wanaenda kuiangusha serikali. Nikasema tusubiri tuone.

Leo nitagusia njia mojawapo inayoweza kuipa Serikali mwanya wa kumuachia huru Mbowe na kulinda sura zao. Tukumbuke siku zote Serikali haipendi kuumbuka.

Kabla sijaelezea hilo ngoja niwakumbushe kidogo kesi moja iliyokuwa inamkabili producer wa muziki wa Marekani Sean Combs, maarufu kama Puff Daddy pamoja na msanii wake aliyekuwa anajulikana kama Shyne. Ilikuwa ni kesi ya kurusha risasi ndani ya club ya usiku.

Baada ya kugundua kuwa ni lazima kuna mtu inabidi afungwe katika kesi ile (nadhani kuna mtu alikufa na majeruhi kadhaa) alichofanya Wakili wa Sean Combs, ilikuwa ni kuwatenganisha Sean Combs na Shyne. Kila mmoja akawa anawakilishwa na Wakili wake. Ilikuwa kama ni kumtoa kafara Shyne.

Nashangaa sana mpaka sasa kwa Mawakili wa CHADEMA kutochukua tahadhari za kutosha kumlinda Mbowe. Hili nililielezea vizuri huko nyuma. Katika hatua hii, njia mojawapo wanayoweza kuchukua ni hii ya kuwa na mawakili tofauti kwa Mbowe na wale walinzi wake. Ikiwezekana Mawakili wa walinzi wapunguzwe sana.

Mbowe ni mtu mkubwa sana kupewa uwakilishi sawa na wale walinzi wake hata kama mashitaka dhidi yao yanafanana.

Pia hii itaipa mwanya Serikali kujua pa kuangukia kama wakiona kabisa kuwa lazima afungwe mtu (hata kama ili tu waepuke aibu). Kafara ya wale walinzi siyo kubwa sana kwa uhuru wa Mwenyekiti Mbowe.

Nawasilisha hoja.

Hakuna cha makafara hapa. Lazima mtu afungwe kwa lipi? Huu sasa si ndiyo uchuro wenyewe?

Kimsingi tunahitaji sera ya kuwahami wahanga wetu wote katika mapambano haya.

CHADEMA: Bila kuwapa Makavu hakuna Katiba Mpya

Ni vizuri wachawi wote wakajua kuwa hayupo aliye bora kuliko mwingine katika chadema.

Ndiyo maana hatuna taabu na kuyajaza magereza yao, pomoni.

Viva Bwire, Adamoo, Ling'wenya, Lijenje, Mbowe na makamanda wote mikononi mwao.
 
Ni hivi, hiyo ni kesi ya kubumba, usitoe ushauri wa watu kujipanga kwenye kesi ya kihuni. Hiyo serikali isitake kuumbuka ama nini hiyo watajua wao. Ila hiyo kesi ni siasa za kishenzi, na ni ushahidi wa wazi kuwa serikali huwa inashirikiana na vyombo vya dola kufanyia uhalifu wapinzani.
atika ufuatiliaji mdogo wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe, nimeona mapungufu makubwa ambayo niliwahi kuelezea humu ndani. Wengine walisema sijui kitu na kwamba ile ilikuwa tu kesi ndogo na kuwa wanaenda kuiangusha serikali. Nikasema tusubiri tuone.

Leo nitagusia njia mojawapo inayoweza kuipa Serikali mwanya wa kumuachia huru Mbowe na kulinda sura zao. Tukumbuke siku zote Serikali haipendi kuumbuka.

Kabla sijaelezea hilo ngoja niwakumbushe kidogo kesi moja iliyokuwa inamkabili producer wa muziki wa Marekani Sean Combs, maarufu kama Puff Daddy pamoja na msanii wake aliyekuwa anajulikana kama Shyne. Ilikuwa ni kesi ya kurusha risasi ndani ya club ya usiku.

Baada ya kugundua kuwa ni lazima kuna mtu inabidi afungwe katika kesi ile (nadhani kuna mtu alikufa na majeruhi kadhaa) alichofanya Wakili wa Sean Combs, ilikuwa ni kuwatenganisha Sean Combs na Shyne. Kila mmoja akawa anawakilishwa na Wakili wake. Ilikuwa kama ni kumtoa kafara Shyne.

Nashangaa sana mpaka sasa kwa Mawakili wa CHADEMA kutochukua tahadhari za kutosha kumlinda Mbowe. Hili nililielezea vizuri huko nyuma. Katika hatua hii, njia mojawapo wanayoweza kuchukua ni hii ya kuwa na mawakili tofauti kwa Mbowe na wale walinzi wake. Ikiwezekana Mawakili wa walinzi wapunguzwe sana.

Mbowe ni mtu mkubwa sana kupewa uwakilishi sawa na wale walinzi wake hata kama mashitaka dhidi yao yanafanana.

Pia hii itaipa mwanya Serikali kujua pa kuangukia kama wakiona kabisa kuwa lazima afungwe mtu (hata kama ili tu waepuke aibu). Kafara ya wale walinzi siyo kubwa sana kwa uhuru wa Mwenyekiti Mbowe.

Nawasilisha hoja.
 
Kesi ya uongo..huyo Kaaya leo kajichanganya, aliandika alionana na Mbowe January huko Longido. Wakati January hiyo Mbowe alikuwa magereza
Yaani sijaona alichojibu Kaaya kinachopelekea Mbowe kuwa Gaidi. Hajaonyesha Ugaidi wa Mbowe hata sielewi Ushahidi wake ni WA nini. Kampigia simu, kampa fedha ikawaje!!!???
 
Yaani sijaona alichojibu Kaaya kinachopelekea Mbowe kuwa Gaidi. Hajaonyesha Ugaidi wa Mbowe hata sielewi Ushahidi wake ni WA nini. Kampigia simu, kampa fedha ikawaje!!!???

Aliyemleta huyu kama shahidi ni bogus kama yeye mwenyewe.

Huyu kama wale wahuni wa Sabaya alipaswa kuwa kisongo.
 
1635429483814.png
 
Kila mshtakiwa ana mawakili wake, mwanzoni walikuwa natetewa kwa pamoja, walipogundua maelezo ya mshtakiwa wa pili yanamtaja Mbowe wakaomba kutenganisha mawakili

Mawakili kina Kibatala ndiyo waliokwambia utopolo huu:

"....walipogundua maelezo ya mshtakiwa wa pili yanamtaja Mbowe wakaomba kutenganisha mawakili"

?

Au wewe ni nabii kama Tito tu?

Hiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom