Mbowe akanyaga Moto wa Kifuu cha Nazi

Mbowe akanyaga Moto wa Kifuu cha Nazi

Makupa

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
6,822
Reaction score
4,034
Mzee Freeman Aikael Mbowe amekuwa mwenyekiti wa chama kwa miaka 21 bila ya uwepo wa ushindani kwenye nafasi yake. Na walionyesha jaribio la kutaka nafasi yake walitimuliwa kwenye chama kwa USALITI.

Hatimae kwa mara ya kwanza Mzee Mbowe amekutana na Moto wa Lissu kuhusu nafasi yake ya uwenyekiti na kwa jinsi Lissu alivyofanya timing, Mzee Mbowe na genge lake hawakuwa wametarajia huu ujio wake na hivyo kushindwa kufanya chochote dhidi ya Lissu kwa usaliti.

Mzee Mbowe na genge lako tunaomba ukubali matokeo tu kuwa,safari hii SACCOS ni lazima iondoke utake usitake hii SACCOS ni lazima sasa iwe ya KITAIFA.

Lissu is the real DEAL.
 
 
Ni kweli na mzigo tayari ameshapokea,na kwa yule mhuni hapo sana sana atatumia b2 tu hiyo teni anaweka kibindoni. Ile 2015 alivuta 10b kwa Lowassa hii biashara inamlipa sana.
🤣🤣Msimu huu lazima ataingia Forbes, Tetesi toka Twitter zinasema hiyo 12B kama advansi bado kuna mabilioni mengine yapo njiani 🤣🤣
 
Mzee Freeman Aikael Mbowe amekuwa mwenyekiti wa chama kwa miaka 21 bila ya uwepo wa ushindani kwenye nafasi yake .Na walionyesha jaribio la kutaka nafasi yake walitimuliwa kwenye chama kwa USALITI.
Hatimae kwa mara ya kwanza Mzee Mbowe amekutana na Moto wa Lissu kuhusu nafasi yake ya uwenyekiti na kwa jinsi Lissu alivyofanya timing ,Mzee Mbowe na genge lake hawakuwa wametarajia huu ujio wake na hivyo kushindwa kufanya chochote dhidi ya Lissu kwa usaliti.

Mzee Mbowe na genge lako tunaomba ukubali matokeo tu kuwa,safari hii SACCOS ni lazima iondoke utake usitake hii SACCOS ni lazima sasa iwe ya KITAIFA
Lissu is the real DEAL.
Kachezewa kete moja balaa sana. Na Lissu na waliopo nyuma yake wamecheza kwa steps sana. Yaani hakuwa na habari na mwamba alianza kuchukua fomu ya umakamu hahaha kumbe ilikua chenga ya mwili na akili
 
Mzee Freeman Aikael Mbowe amekuwa mwenyekiti wa chama kwa miaka 21 bila ya uwepo wa ushindani kwenye nafasi yake .Na walionyesha jaribio la kutaka nafasi yake walitimuliwa kwenye chama kwa USALITI.
Hatimae kwa mara ya kwanza Mzee Mbowe amekutana na Moto wa Lissu kuhusu nafasi yake ya uwenyekiti na kwa jinsi Lissu alivyofanya timing ,Mzee Mbowe na genge lake hawakuwa wametarajia huu ujio wake na hivyo kushindwa kufanya chochote dhidi ya Lissu kwa usaliti.

Mzee Mbowe na genge lako tunaomba ukubali matokeo tu kuwa,safari hii SACCOS ni lazima iondoke utake usitake hii SACCOS ni lazima sasa iwe ya KITAIFA
Lissu is the real DEAL.
Nikama amepigwa ngumi ya kushtukiza eneo la usoni kwa sasa anawaza alipize au atumie busara japo maumivu anayasikia
 
Ni kweli na mzigo tayari ameshapokea,na kwa yule mhuni hapo sana sana atatumia b2 tu hiyo teni anaweka kibindoni. Ile 2015 alivuta 10b kwa Lowassa hii biashara inamlipa sana.
Halafu unategemea aiache labda kama wanaompinga watachangishana na kumlipa mara dufu ya hizo, ndio ataachia. kuna la kujifunza hapa, kila wanao toka wanamtuhumu yeye kwamba ni mpenda fedha na hana lolote ila ni fedha, hii kitu yanaonekana kwamba ni kweli na alikiri mwenyewe kwamba hayo maisha ni tangu utotoni.
 
Back
Top Bottom