Mbowe akiri kusikia tuhuma za kupinduliwa Uenyekiti kupitia Join The Chain

Mbowe akiri kusikia tuhuma za kupinduliwa Uenyekiti kupitia Join The Chain

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa na mgombea wa nafasi hiyo kwa mara nyingine Freeman Mbowe akizungumza siku ya Ijumaa Januari 17, 2025 katika kipindi cha Morning Trumpet kinachorushwa na chaneli ya runinga ya UTV

Soma: Ezekiel Wenje: Lema ndiye aliongoza kumshughulikia Zitto Kabwe mpaka kuondoka CHADEMA

"Mimi watu kutaka kunipindua nimelisikia na ninalisikia, kwasababu sikuwa sehemu ya hao wanamapinduzi sijui ajenda yao walitaka kuibeba vipi! kwahiyo nisingetamani kuingia kwenye mjadala huo, wao ukiwauliza wanaweza kuwa na majibu zaidi. Lakini dunia hii haina siri, vitu vya hila ni suala la muda tu na haki haijawahi kushindwa na uongo haujawahi kutamalaki."

"Mnaweza kusema mambo ya uongo, ya kusingizia watu, kuwashusha watu, kuwatweza watu lakini kwa kiongozi yeyote ambaye unafahamu kazi ya siasa ni mchezo wa timu lazima utambue kuwa tunahitajiana katika siasa, na huwezi kuwa kiongozi ambaye eti unataka kukiongoza chama kwa kuwashusha wenzio, kwa kuwakanyaga wenzako, kwa kuwatweza wenzako."

"Sisi ni binadamu, tuna mapungufu, yawezekana Mwenyekiti Mbowe ana mapungufu yake, Katibu Mkuu wangu ana mapungufu yake halikadhalika Wajumbe wa Kamati Kuu, kila binadamu ana mapungufu yake. Katika taasisi ambayo mnajengana kwenye mazingira ambayo mnaonewa sana, umoja wetu na nguvu yetu ya pamoja ndiyo silaha yetu kubwa."
 
IMG-20250116-WA0060.jpg
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa na mgombea wa nafasi hiyo kwa mara nyingine Freeman Mbowe akizungumza siku ya Ijumaa Januari 17, 2025 katika kipindi cha Morning Trumpet kinachorushwa na chaneli ya runinga ya UTV

"Mimi watu kutaka kunipindua nimelisikia na ninalisikia, kwasababu sikuwa sehemu ya hao wanamapinduzi sijui ajenda yao walitaka kuibeba vipi! kwahiyo nisingetamani kuingia kwenye mjadala huo, wao ukiwauliza wanaweza kuwa na majibu zaidi. Lakini dunia hii haina siri, vitu vya hila ni suala la muda tu na haki haijawahi kushindwa na uongo haujawahi kutamalaki. Mnaweza kusema mambo ya uongo, ya kusingizia watu, kuwashusha watu, kuwatweza watu lakini kwa kiongozi yeyote ambaye unafahamu kazi ya siasa ni mchezo wa timu lazima utambue kuwa tunahitajiana katika siasa, na huwezi kuwa kiongozi ambaye eti unataka kukiongoza chama kwa kuwashusha wenzio, kwa kuwakanyaga wenzako, kwa kuwatweza wenzako. Sisi ni binadamu, tuna mapungufu, yawezekana Mwenyekiti Mbowe ana mapungufu yake, Katibu Mkuu wangu ana mapungufu yake halikadhalika Wajumbe wa Kamati Kuu, kila binadamu ana mapungufu yake. Katika taasisi ambayo mnajengana kwenye mazingira ambayo mnaonewa sana, umoja wetu na nguvu yetu ya pamoja ndiyo silaha yetu kubwa"- Mbowe.
Sasa mbona yeye alifanya vikao vya siri kuwaondoa Heche,Lemma,Lissu na Msigwa? Mbowe anavyozidi kuleta utetezi uchwara ndiyo anafungua milango watu wazidi kumuanika kwa dili zake na Samia
 
Huyu akae pembeni kwani yeye peke yake ndio mwenye sifa ya kuwa mwenyekiti? miaka zaidi ya 20 inatosha sasa
 
Mbowe hatakiwi, sijui anapata wapi nguvu za kuendelea kuongea na media.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa na mgombea wa nafasi hiyo kwa mara nyingine Freeman Mbowe akizungumza siku ya Ijumaa Januari 17, 2025 katika kipindi cha Morning Trumpet kinachorushwa na chaneli ya runinga ya UTV

"Mimi watu kutaka kunipindua nimelisikia na ninalisikia, kwasababu sikuwa sehemu ya hao wanamapinduzi sijui ajenda yao walitaka kuibeba vipi! kwahiyo nisingetamani kuingia kwenye mjadala huo, wao ukiwauliza wanaweza kuwa na majibu zaidi. Lakini dunia hii haina siri, vitu vya hila ni suala la muda tu na haki haijawahi kushindwa na uongo haujawahi kutamalaki."

"Mnaweza kusema mambo ya uongo, ya kusingizia watu, kuwashusha watu, kuwatweza watu lakini kwa kiongozi yeyote ambaye unafahamu kazi ya siasa ni mchezo wa timu lazima utambue kuwa tunahitajiana katika siasa, na huwezi kuwa kiongozi ambaye eti unataka kukiongoza chama kwa kuwashusha wenzio, kwa kuwakanyaga wenzako, kwa kuwatweza wenzako."

"Sisi ni binadamu, tuna mapungufu, yawezekana Mwenyekiti Mbowe ana mapungufu yake, Katibu Mkuu wangu ana mapungufu yake halikadhalika Wajumbe wa Kamati Kuu, kila binadamu ana mapungufu yake. Katika taasisi ambayo mnajengana kwenye mazingira ambayo mnaonewa sana, umoja wetu na nguvu yetu ya pamoja ndiyo silaha yetu kubwa."
Lema,Heche na Lisu ni wanamapinduzi
 
Lissu, Lema, Msigwa walipanga mapinduzi ya kumng'oa Mbowe bila yeye kujijua. Lissu awe Mwenyekiti Makamo awe Msigwa.

Heche tusimsingizie hakuwemo kwenye mpango huo.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa na mgombea wa nafasi hiyo kwa mara nyingine Freeman Mbowe akizungumza siku ya Ijumaa Januari 17, 2025 katika kipindi cha Morning Trumpet kinachorushwa na chaneli ya runinga ya UTV

Soma: Ezekiel Wenje: Lema ndiye aliongoza kumshughulikia Zitto Kabwe mpaka kuondoka CHADEMA

"Mimi watu kutaka kunipindua nimelisikia na ninalisikia, kwasababu sikuwa sehemu ya hao wanamapinduzi sijui ajenda yao walitaka kuibeba vipi! kwahiyo nisingetamani kuingia kwenye mjadala huo, wao ukiwauliza wanaweza kuwa na majibu zaidi. Lakini dunia hii haina siri, vitu vya hila ni suala la muda tu na haki haijawahi kushindwa na uongo haujawahi kutamalaki."

"Mnaweza kusema mambo ya uongo, ya kusingizia watu, kuwashusha watu, kuwatweza watu lakini kwa kiongozi yeyote ambaye unafahamu kazi ya siasa ni mchezo wa timu lazima utambue kuwa tunahitajiana katika siasa, na huwezi kuwa kiongozi ambaye eti unataka kukiongoza chama kwa kuwashusha wenzio, kwa kuwakanyaga wenzako, kwa kuwatweza wenzako."

"Sisi ni binadamu, tuna mapungufu, yawezekana Mwenyekiti Mbowe ana mapungufu yake, Katibu Mkuu wangu ana mapungufu yake halikadhalika Wajumbe wa Kamati Kuu, kila binadamu ana mapungufu yake. Katika taasisi ambayo mnajengana kwenye mazingira ambayo mnaonewa sana, umoja wetu na nguvu yetu ya pamoja ndiyo silaha yetu kubwa."

Si akayaeleze hayo kwenye mdahalo huko, au?
 
Back
Top Bottom