Mbowe akishinda, Makamu wake atatoka upande wa Lissu, na Lissu akishinda Makamu atatoka kwa Mbowe. Je, ofisini patakalika?

Mbowe akishinda, Makamu wake atatoka upande wa Lissu, na Lissu akishinda Makamu atatoka kwa Mbowe. Je, ofisini patakalika?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kuna kambi mbili chadema ambayo ni Lisu na Mbowe. Karata zinaonyesha wapiga kura watabadili wagombea nafasi za mwenyekiti. Endapo mpiga kura atapiga kura kwa Mbowe basi atapiga kura ya makamu kwa mgombea anayeungwa mkono na Lisu; vivyo hivyo kwa Lisu.

Natabiri Mweyekiti atapata Makamu asiye wa kambi yake. Kwa utabiri huu sera na maono ya pande mbili yatatekelezwa ikiwemo pia kuwa na baraza lenye wajumbe wa pande mbili. Wasiwasi wangu ni wateuliwa kufanya kazi pamoja.
 
Kuna kambi mbili chadema ambayo ni Lisu na Mbowe. Karata zinaonyesha wapiga kura watabadili wagombea nafasi za mwenyekiti. Endapo mpiga kura atapiga kura kwa Mbowe basi atapiga kura ya makamu kwa mgombea anayeungwa mkono na Lisu; vivyo hivyo kwa Lisu.

Natabiri Mweyekiti atapata Makamu asiye wa kambi yake. Kwa utabiri huu sera na maono ya pande mbili yatatekelezwa ikiwemo pia kuwa na baraza lenye wajumbe wa pande mbili. Wasiwasi wangu ni wateuliwa kufanya kazi pamoja.
Mbowe anaweza kufanya kazi na Heche. Lissu hawezi kufanya kazi na Wenje.

Amandla...
 
Kwa namna walivyo chadema wanapingana kwa hoja sio Visa.. Umeona jana Wanavyo yarudi(cheza) Lissu na Mbowe pamoja tena wakiwa wamekaa sehemu moja.

Unaweza amini ndo ambao wanasemana wanapokuwa Nje ya hapo.

Kila mmoja anatumia nafasi yake kujinadi na hata kumkandia mwenzake ila wanajielewa wate ni chadema na sio madui.

Hivyo atakae shindwa ata kubali na atakae shida anajua anatakiwa tumikia chadema sio kuendeleza makundi au mgawanyiko

Tatizo mmekariri siasa za uasama na visa
 
Kiongozi bora ni mpatanishi, ndiyo maana tunakwambia chagua kiongozi bora mwenye wezo wa kufanya kazi na makundi yote kutafuta maridhiano ndani ya chama, kuziba nyufa na kusonga mbele.
 
Heche akitubu dakika hizi za majeruhi tunaweza kumpa kura na hatimaye kufanya kazi na Mwamba.
Sababu so far hajaropoka ropoka.
Akigoma basi benchi linamuhusu.
Baada ya interview ya Mbowe na Mwananchi papers akimuelezea Heche, Heche atapunguza respect sana kwa Mwamba.
 
Kuna kambi mbili chadema ambayo ni Lisu na Mbowe. Karata zinaonyesha wapiga kura watabadili wagombea nafasi za mwenyekiti. Endapo mpiga kura atapiga kura kwa Mbowe basi atapiga kura ya makamu kwa mgombea anayeungwa mkono na Lisu; vivyo hivyo kwa Lisu.

Natabiri Mweyekiti atapata Makamu asiye wa kambi yake. Kwa utabiri huu sera na maono ya pande mbili yatatekelezwa ikiwemo pia kuwa na baraza lenye wajumbe wa pande mbili. Wasiwasi wangu ni wateuliwa kufanya kazi pamoja.
Kwa vyovyote Heche atakuwa makamu kati ya hao wawili.
 
Back
Top Bottom