Mbowe akitoka Mahabusu, atasema, "nimewasamehe, ila mapambano yanaendelea"

Mbowe akitoka Mahabusu, atasema, "nimewasamehe, ila mapambano yanaendelea"

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Huu ndio utabiri wangu siku Mbowe anatoka Mahabusu. Atazungukwa na Media za kitaifa na kimataifa na ujumbe wake utakuwa ni huo au wenye kufanana na huo.

Historia ya mapambano ya kudai Katiba Mpya inazidi kuandikwa, na picha za Mbowe kuwa Mahakamani na za kuachiwa huru au hata kufungwa gerezani, zitachukua nafasi katika maandiko ya kihistoria ya mapambano ya kudai Katiba Mpya.

Mbowe kufungwa gerezani au kuachiwa huru, yote yana impact moja tu kuchochea mapambano ya kudai katiba mpya

CCM wamekosa maarifa.
 
Aliisusia Prof.Lipumba....

Wakasusa wenzake.....

Jazba dhidi ya kiitwacho "INTERAHAMWE" iliwajaa mno....


Siku KUKILETWA mchakato wa KATIBA....tuanzie pale TULIPOISHIA.....

Tuendelee na pale tulipoishia.......

HAIWEZEKANI kurudi nyuma tena.....

#NchiKwanza
#SiempreSerikaliMbiliZaJMT
 
Kuchochea mapambano ya kudai katiba ingekuwa kwa sasa mtaani hapakaliki wafuasi wa chadema pande zote za nchi wanaandamana kwa namna zote kugoma kwamba Mbowe aachiwe huru bila kuogopa chochote kile huo uchochezi wa mapambano bado sijauona

Unakumbuka wafuasi wa Zuma huko kwa mkaburu jambo dogo tu lakini wafuasi wako sensitive je ingekuwa issue Ni katiba ingekuwaje

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mbowe alipo kuwa mwenyekiti wa Chama Cha Chadema alipaswa awe mfano mzuri kwa Viongozi wenzake na kwa wanachama wake lkn kinyume chake ameonyesha mfano mbaya sana ktk Jamii kuwa kiongozi mwenye matendo ya kigaidi, kupanga mipango ya kuuwa watu!! kupanga mipango ya kuvuruga amani ya nchi!!!
mtu wa namna hii ni mnyama, hafai hata kuongoza familia.
mfano Mbaya sana ktk jamii ya Kitanzania.
 
Huu ndio utabiri wangu siku Mbowe anatoka Mahabusu. Atazungukwa na Media za kitaifa na kimataifa na ujumbe wake utakuwa ni huo au wenye kufanana na huo.

Historia ya mapambano ya kudai Katiba Mpya inazidi kuandikwa, na picha za Mbowe kuwa Mahakamani na za kuachiwa huru au hata kufungwa gerezani, zitachukua nafasi katika maandiko ya kihistoria ya mapambano ya kudai Katiba Mpya.

Mbowe kufungwa gerezani au kuachiwa huru, yote yana impact moja tu kuchochea mapambano ya kudai katiba mpya

CCM wamekosa maarifa.
KAMANDA_WOTE_MASHUJAA,_WAPENDA_HAKI,_WAFIA_CHAMA__tukutane_KIsutu_leo_mapema_kwenye_kesi_ya_mw...jpg
 
Back
Top Bottom