Mbowe akiwa peke yake alimleta Lowassa, tena Mbowe akiwa peke yake akaingia maridhiano na CCM, Mbowe ni mkubwa kuliko CHADEMA

Mbowe akiwa peke yake alimleta Lowassa, tena Mbowe akiwa peke yake akaingia maridhiano na CCM, Mbowe ni mkubwa kuliko CHADEMA

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kama Mbowe peke yake aliweza kumkata Dr Slaa na kumleta mzee Lowassa kugombea Urais Chadema mnafanya Uchaguzi Ili iweje?

Kama Mbowe peke yake alienda kwenye Maridhiano na CCM ni nani mwingine kama Mbowe Hapo Chadema?

Kwa kifupi Sana, Mbowe ni mkubwa kuliko Chadema

Huo uchafuzi ni Baraza kula hela za Nondo tu lakini hakunaga uchaguzi Chadema

Ahsanteni Sana 😂
 
Back
Top Bottom