Mbowe alianza kutekeleza hii kauli ya "If you can't beat them, join them" muda mrefu

Mbowe alianza kutekeleza hii kauli ya "If you can't beat them, join them" muda mrefu

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
20,834
Reaction score
26,217
WanaJF,

Nafikiri Sisi ndio tumechelewa kulifahamu hili Jambo lakini kumbe ndugu Freeman Aikael Mbowe alishaanza kutekeleza Hilo muda mrefu, kwamba kwa sababu yeye ameshindwa kupambana na CCM kwa zaidi ya miaka 30 sasa yeye akiwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa basi ameona aungane nao wakati huu.

Mbowe Pumzika Sasa Imetosha, Wapishe Na Wengine. Wakati Ni Ukuta.
 
.
download (1).jpeg
 
WanaJF,

Nafikiri Sisi ndio tumechelewa kulifahamu hili Jambo lakini kumbe ndugu Freeman Aikael Mbowe alishaanza kutekeleza Hilo muda mrefu, kwamba kwa sababu yeye ameshindwa kupambana na CCM kwa zaidi ya miaka 30 sasa yeye akiwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa basi ameona aungane nao wakati huu.

Mbowe Pumzika Sasa Imetosha, Wapishe Na Wengine. Wakati Ni Ukuta.
Naunga mkono hoja, if you cant beat them, join them Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! hii ndio formular ya suvival
P
 
#Serious? ,so if you can't beat the evil one join them
Yes, this is the art of war, if you are good, unamfuata Mungu, then shetani akaingilia kati safari yako kumfuata Mungu, pigana na shetani, ukimuona shetani amekuzidi nguvu na atakuteketeza, then join the devil and fight from within, vinginevyo utateketea!. Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! JPM was a devil in human flesh, usipomjoin uta perish, the only survival mechanisim was to join him and fight from within, ndio maana baadhi yetu tupo mpaka leo!. I'm a survival!.

Naomba pia kutoa ufaganuzi wa dhana ya malaika na shetani. Malaika akijiunga na mashetani, anageuka shetani? Shetani akijiunga na malaika anageuka malaika?!

JPM alianza kama shetani, akamaliza akiwa malaika Elections 2015 - Nani hatari zaidi kati ya malaika aliyegeuka shetani, Au shetani aliyegeuka malaika?! Na saa hizi yuko peponi Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

P
 
WanaJF,

Nafikiri Sisi ndio tumechelewa kulifahamu hili Jambo lakini kumbe ndugu Freeman Aikael Mbowe alishaanza kutekeleza Hilo muda mrefu, kwamba kwa sababu yeye ameshindwa kupambana na CCM kwa zaidi ya miaka 30 sasa yeye akiwa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa basi ameona aungane nao wakati huu.

Mbowe Pumzika Sasa Imetosha, Wapishe Na Wengine. Wakati Ni Ukuta.
Hope he will understand this🤔🙇🏿‍♂
 
Back
Top Bottom