njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Kama vile lissu alipolalamika kwamba kuna plans za kumuuua na baadaye akapigwa risasi za kutosha basi march 2018 mbowe alishayajua pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ELEWA: kuna tofauti kubwa sana kati ya Uhaini na ugaidi!Kama vile lissu alipolalamika kwamba kuna plans za kumuuua na baadaye akapigwa risasi za kutosha basi march 2018 mbowe alishayajua pia
View attachment 2125013
Wacha we uhaini kumbe ni issue ndogo?ishu ni kwamba. Mchongo ulianza siku nyingi hata ingekua kesi ya kubaka kuku ..majitu yalikaa chini 4 years ago yakaitengenezaELEWA: kuna tofauti kubwa sana kati ya Uhaini na ugaidi!
KABISAKila ubaya italipwa
Labda hii kesi isiwe reffered siku za mbele kwenye course za sheria la sivyo hao majaji watachekwa sana na wanafunziWamepambana sn kumuua Mbowe ikashindikana wakaona njia ni kumpa kesi ya ugaidi
Hakuna majaji hapo ni makanjanja tupuLabda hii kesi isiwe reffered siku za mbele kwenye course za sheria la sivyo hao majaji watachekwa sana na wanafunzi
Ni aibu tu mara ya kwanza walipanga wampe treason wakaamua wampe terrorism ..wanaona raha wenyeweee eti waliapa wakishika biblia na kuraniAcha inyeshe...
Walishindwa kumuua mtu ambaye hana ulinzi Kama wa rais, Mungu anatisha yy ndo mmiliki wa roho za wenye mwili wote.Wamepambana sn kumuua Mbowe ikashindikana wakaona njia ni kumpa kesi ya ugaidi
Jifanye Ng’ombe mtu mkuu hakuna neno.ELEWA: kuna tofauti kubwa sana kati ya Uhaini na ugaidi!
Na 2020 Magufuli alimpa Sabaya kina Kingai wakamuue mzee Mbowe. Walimvamia usiku na magari yenye namba feki za diplomati.Kama vile lissu alipolalamika kwamba kuna plans za kumuuua na baadaye akapigwa risasi za kutosha basi march 2018 mbowe alishayajua pia
View attachment 2125013
Hatimae POLISI WAMETIMIZA NIA YAO NDIO MAANA KINGAI ALIMTAMKIA MBOWE KUWA TUNAKUPA UGAIDI ILA MUNGU ATATENDA MIUJIZA YAKENa 2020 Magufuli alimpa Sabaya kina Kingai wakamuue mzee Mbowe. Walimvamia usiku na magari yenye namba feki za diplomati.
Kifo cha Magufuli ni GHADHABU za ALLAH.!