Mbowe alilalamika 2018 kutaka kubambikiwa kesi

ELEWA: kuna tofauti kubwa sana kati ya Uhaini na ugaidi!
Jifanye Ng’ombe mtu mkuu hakuna neno.
Tetea maslahi yako kama yapo awamu ya 6.
Jifanye akili yako haina akili ndio inalipa zaidi.
 
Na 2020 Magufuli alimpa Sabaya kina Kingai wakamuue mzee Mbowe. Walimvamia usiku na magari yenye namba feki za diplomati.
Kifo cha Magufuli ni GHADHABU za ALLAH.!
Hatimae POLISI WAMETIMIZA NIA YAO NDIO MAANA KINGAI ALIMTAMKIA MBOWE KUWA TUNAKUPA UGAIDI ILA MUNGU ATATENDA MIUJIZA YAKE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…