Mbowe amewasaliti watanzania, hana nia na mpango wa kuig'oa CCM madarakani, anazuga mitaani akiokoteza vijisenti vya kujaza matumbo yake

Mbowe amewasaliti watanzania, hana nia na mpango wa kuig'oa CCM madarakani, anazuga mitaani akiokoteza vijisenti vya kujaza matumbo yake

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Aliachiwa na Mama Samia kwa mkataba maalumu.

Eti wajenge nchi. Sasa mtu makini utajenge nchi na hii CCM?

Sasa hivi hasikiki kama ana mpango wa kuhakiaha CCM inag'oka madarakani.

Kumbe jela ni njia ya kunyamazisha watu.
 
Aliachiwa na Mama Samia kwa mkataba maalumu.

Eti wajenge nchi. Sasa mtu makini utajenge nchi na hii CCM?

Sasa hivi hasikiki kama ana mpango wa kuhakiaha CCM inag'oka madarakani.

Kumbe jela ni njia ya kunyamazisha watu.
Usiku huu unashindwa kumuwaza hata namna ya kuwasaidia ndugu zako kijijini unaandika upupu kuhusu mwanaume mwenzio?! Pathetic
 
Hayo makongamano ya Katiba Mpya yanayoendelea nchi nzima huyaoni? ile operation ya Chadema ni msingi kurudiwa nchi nzima hujaisikia?

Unadharau pesa anazookoteza mitaani unataka wakachukue ruzuku ya serikali ya wizi iliyopatikana 2020? unataka wachukue ili wahalalishe ule uharamia uliofanyika halafu tena mje kusema Chadema hawajielewi?

Kwa upeo wako mdogo hujui kama Chadema wanavyozunguka huko mitaani wanawafikia wanachama na supporters wao kwa ukaribu zaidi na kukihuisha chama chao.
 
Aliachiwa na Mama Samia kwa mkataba maalumu.

Eti wajenge nchi. Sasa mtu makini utajenge nchi na hii CCM?

Sasa hivi hasikiki kama ana mpango wa kuhakiaha CCM inag'oka madarakani.

Kumbe jela ni njia ya kunyamazisha watu.
Kidogo unakuwa na papara mkuu 'Muuza Kangala'.

Hata kuuza kangala kwenyewe, ukiwa na papara nyingi kiasi hiki hufanikiwi.

Vuta subira. Hukusikia yaliyosemwa baada ya "gaidi" kuachiwa huru toka gerezani?

Sasa unataka nini, Mbowe aitishe maandamano mara moja hii?
 
Ni kweli mtupu syo tu Mbowe hii nchi hakunaga mpinzani wa kweli ambaye yupo tayari kushika dola bt wote ni vibaraka wa Chama tawala hizi blah blah za mitandaoni ni kuwazuga tu wananchi bt huko nyuma, lao ni moja wanakunywa na kula bata Pamoja.
 
Mr new culture ni mtu wa wapi vile..hao jamaa kwenye pesa wako radhi kwa lolote.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nafuu ya Mbowe kuliko ya mtanganjia na kibakuli kwa wazungu tuliowaita mabeberu leo wamekuwa malaika watakatifu.
 
Hayo makongamano ya Katiba Mpya yanayoendelea nchi nzima huyaoni? ile operation ya Chadema ni msingi kurudiwa nchi nzima hujaisikia?

Unadharau pesa anazookoteza mitaani unataka wakachukue ruzuku ya serikali ya wizi iliyopatikana 2020? unataka wachukue ili wahalalishe ule uharamia uliofanyika halafu tena mje kusema Chadema hawajielewi?

Kwa upeo wako mdogo hujui kama Chadema wanavyozunguka huko mitaani wanawafikia wanachama na supporters wao kwa ukaribu zaidi na kukihuisha chama chao.
Chadema imepunguza moto wa kudai katiba mpya

huenda Mbowe ameshacompromise!
 
Aliachiwa na Mama Samia kwa mkataba maalumu.

Eti wajenge nchi. Sasa mtu makini utajenge nchi na hii CCM?

Sasa hivi hasikiki kama ana mpango wa kuhakiaha CCM inag'oka madarakani.

Kumbe jela ni njia ya kunyamazisha watu.
Umeandika kwa facts au hisia tu?😂😂😂
 
Sijawahi waamini hao watu.

Sijawahi ona wakiwa na nia yeyote ile.

Sio vibaya umefahamu hilo hata kwa kuchelewa.
 
Back
Top Bottom