Mbowe amewasaliti watanzania, hana nia na mpango wa kuig'oa CCM madarakani, anazuga mitaani akiokoteza vijisenti vya kujaza matumbo yake

Mbowe siku hizi hana mzuka wala moto wa kuizungumzia katiba mpya, Sijui kwa nini kabadili gia angani
Ameambiwa aunge mkono juhudi za kuijenga nchi.

Tayari price tag anayo na kafikwa bei kama kipindi kile cha lowasa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Aliachiwa na Mama Samia kwa mkataba maalumu.

Eti wajenge nchi. Sasa mtu makini utajenge nchi na hii CCM?

Sasa hivi hasikiki kama ana mpango wa kuhakiaha CCM inag'oka madarakani.

Kumbe jela ni njia ya kunyamazisha watu.
INGIA WEWE UWAOKOE WATANZANIA TUKUONE
 
Aliachiwa na Mama Samia kwa mkataba maalumu.

Eti wajenge nchi. Sasa mtu makini utajenge nchi na hii CCM?

Sasa hivi hasikiki kama ana mpango wa kuhakiaha CCM inag'oka madarakani.

Kumbe jela ni njia ya kunyamazisha watu.
wazazi wako wana hasara tupu! Miezi tisa ya bure
 
Aliachiwa na Mama Samia kwa mkataba maalumu.

Eti wajenge nchi. Sasa mtu makini utajenge nchi na hii CCM?

Sasa hivi hasikiki kama ana mpango wa kuhakiaha CCM inag'oka madarakani.

Kumbe jela ni njia ya kunyamazisha watu.
Sometimes kuna muda inakubid upige kimya ili ufanye mamb mengine, imagine mtu anaandika Poropwindo kama hii? Mbowe anajitosheleza kimaisha mzee.
 
Chadema imepunguza moto wa kudai katiba mpya

huenda Mbowe ameshacompromise!
Kwa imani yako Katiba Mpya inadaiwa kwenye majukwaa na mikutano peke yake? Hivi hao wananchi wanaoombwa ku Join the Chain wanapewa sababu gani za kuchangia Chadema? Kuna njia nyingi za kumchuna paka.

Amandla...
 
Aliachiwa na Mama Samia kwa mkataba maalumu.

Eti wajenge nchi. Sasa mtu makini utajenge nchi na hii CCM?

Sasa hivi hasikiki kama ana mpango wa kuhakiaha CCM inag'oka madarakani.

Kumbe jela ni njia ya kunyamazisha watu.

Wakati anapitia magumu ya kubomolewa bilcanas, kaharibiwa shamba lake, kufukuzwa kwenye NHC, Kufungiwa akaunti zake, kutumiwa Sabaya Kama mkuu wa Wilaya kumfustrate, kushambuliwa na wasio julikana mpaka kuvunjwa mguu, kuhukumiwa kesi ya Akwelina mpaka mahakama kuu ilipoingilia Kati na kubatliisha hukumu, kuhujumiwa chaguzi nyingi na kufunguliwa kesi ya ugaidi:

wewe ulikuwa upande wa wawatesi. Leo ndio unaamka na kusema amenyamazishwa. Kama unaona Mbowe ingia wewe hata siku Moja uone.
 
Hakuna nia ya dhati kuwag'oa CCM yote mnayofanya ni geresha tu.

Nia dhati Ni ipi?. Wakati wa Magufuli chadema ilikuja na UKUTA polisi nchi nzima walifanya magwaride. Kama polisi walielewa nguvu ya chadema inakuwaje wewe useme hakuna Nia ya dhati?.

Unataka chadema wapindue serikali kwa Vita?. Wanapigania katiba mpya na sasa wanaendesha kampeni ya michango kwa Wananchi ili kukiinua chama kifanye harakati zingine.
 
Ni kweli mtupu syo tu Mbowe hii nchi hakunaga mpinzani wa kweli ambaye yupo tayari kushika dola bt wote ni vibaraka wa Chama tawala hizi blah blah za mitandaoni ni kuwazuga tu wananchi bt huko nyuma, lao ni moja wanakunywa na kula bata Pamoja.

Kama Ni kweli Magufuli asingezuia mikutano ya siasa na kulima watu Risasi. Kuna watu wamepotezwa mpaka leo kisa upinzani. Ukitaka kujua Kuna upinzani, angalia 2019/2020, sarakasi za uchaguzi zilivyokuwa mpaka wakurugenzi wakatumika.
 
Sijawahi waamini hao watu.

Sijawahi ona wakiwa na nia yeyote ile.

Sio vibaya umefahamu hilo hata kwa kuchelewa.

Endelea kuamini ccm. Mnataka chadema wafanye nini?. Kuna kipindi chadema walikuwa wanapambana na mahakama, polisi na Bunge. Yani walibaki Kama yatima, dola iliwageuka kisawasawa.
 
Ameambiwa aunge mkono juhudi za kuijenga nchi.

Tayari price tag anayo na kafikwa bei kama kipindi kile cha lowasa.

#MaendeleoHayanaChama

Price tag unaijua?. Alishindwa kufika price tag kipindi Cha Magufuli aliyofanyiwa kila aina ya hiyana, mpka kufungiwa akaunti zake na pesa kuchukuliwa. Tusiongee ili mradi hatumpendi Mbowe, tuongee ukweli.
 
.
 
Aliachiwa na Mama Samia kwa mkataba maalumu.

Eti wajenge nchi. Sasa mtu makini utajenge nchi na hii CCM?

Sasa hivi hasikiki kama ana mpango wa kuhakiaha CCM inag'oka madarakani.

Kumbe jela ni njia ya kunyamazisha watu.
Mleta mada anapima upepo baada ya maandamano USA Kutokea. Kuweni makini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…