sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,182
- 8,948
Hawa waropokaji ALIYE Walea hata wakikataa upo mchango mkubwa wa siasa zao za Leo kutoka kwa rinjendari wa siasa Dr Freeman Aikaell Mbowe.
Kwa takribani miaka 21 Mh Mbowe alifanikiwa kutuletea hao watu ambao wao hawakuwai kumrithi kwa adabu Badala yake wanataka kumrithi kwa kumchagua na kumkebei na kumtusi.
Mbowe alitakiwa kuwa na staili ya NYANI, alitakiwa mtu anakaa miaka mitano anastafishwa akakae na mkewe huko auze mahindi au arudi kwenye udereva daradara
Lazima tukubali wakina mwaipaya sio TU taifa linawaitaji kwenye siasa WAENDE wakafanye shughuli nyingine za kiuchumi wajikomboe
Kwa takribani miaka 21 Mh Mbowe alifanikiwa kutuletea hao watu ambao wao hawakuwai kumrithi kwa adabu Badala yake wanataka kumrithi kwa kumchagua na kumkebei na kumtusi.
Mbowe alitakiwa kuwa na staili ya NYANI, alitakiwa mtu anakaa miaka mitano anastafishwa akakae na mkewe huko auze mahindi au arudi kwenye udereva daradara
Lazima tukubali wakina mwaipaya sio TU taifa linawaitaji kwenye siasa WAENDE wakafanye shughuli nyingine za kiuchumi wajikomboe