mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
Alianza Lisu kuchukua fomu na kutoa hoja zake ni nini atakifanyia chama endapo atachaguliwa , Mbowe katoka hadharani na kudai kuwa Lissu anamtukana.
Amekuja John Heche , pamoja na kueleza mbele ya press kuwa Mbowe ni baba yake kisiasa , amemlea na anamheshimu , bado Mbowe anadai Heche anamtukana.
Amekuja Lema , kumuunga mkono Lisu tu, Mbowe anadai Lema anamtukana.
Sasa Ndugu Freeman Mbowe, ni matusi gani unatukanwa unayoyasikia wewe tu na wengine hatuyasikii wala kuyaona ?
Mwisho, Ndg Mbowe, punguza kulialia kwenye press unazozifanya, jenga hoja kwa nini upewe miaka mingine mitano ? Na kwa nini miaka 21 unaona haijakutosha?
Amekuja John Heche , pamoja na kueleza mbele ya press kuwa Mbowe ni baba yake kisiasa , amemlea na anamheshimu , bado Mbowe anadai Heche anamtukana.
Amekuja Lema , kumuunga mkono Lisu tu, Mbowe anadai Lema anamtukana.
Sasa Ndugu Freeman Mbowe, ni matusi gani unatukanwa unayoyasikia wewe tu na wengine hatuyasikii wala kuyaona ?
Mwisho, Ndg Mbowe, punguza kulialia kwenye press unazozifanya, jenga hoja kwa nini upewe miaka mingine mitano ? Na kwa nini miaka 21 unaona haijakutosha?