Mbowe anaona kila ampingae anamtukana

Mbowe anaona kila ampingae anamtukana

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
Alianza Lisu kuchukua fomu na kutoa hoja zake ni nini atakifanyia chama endapo atachaguliwa , Mbowe katoka hadharani na kudai kuwa Lissu anamtukana.

Amekuja John Heche , pamoja na kueleza mbele ya press kuwa Mbowe ni baba yake kisiasa , amemlea na anamheshimu , bado Mbowe anadai Heche anamtukana.

Amekuja Lema , kumuunga mkono Lisu tu, Mbowe anadai Lema anamtukana.

Sasa Ndugu Freeman Mbowe, ni matusi gani unatukanwa unayoyasikia wewe tu na wengine hatuyasikii wala kuyaona ?

Mwisho, Ndg Mbowe, punguza kulialia kwenye press unazozifanya, jenga hoja kwa nini upewe miaka mingine mitano ? Na kwa nini miaka 21 unaona haijakutosha?
 
Alianza Lisu kuchukua fomu na kutoa hoja zake ni nini atakifanyia chama endapo atachaguliwa , Mbowe katoka hadharani na kudai kuwa Lissu anamtukana.

Amekuja John Heche , pamoja na kueleza mbele ya press kuwa Mbowe ni baba yake kisiasa , amemlea na anamheshimu , bado Mbowe anadai Heche anamtukana.

Amekuja Lema , kumuunga mkono Lisu tu, Mbowe anadai Lema anamtukana.

Sasa Ndugu Freeman Mbowe, ni matusi gani unatukanwa unayoyasikia wewe tu na wengine hatuyasikii wala kuyaona ?

Mwisho, Ndg Mbowe, punguza kulialia kwenye press unazozifanya, jenga hoja kwa nini upewe miaka mingine mitano ? Na kwa nini miaka 21 unaona haijakutosha?
Mzee Mbowe mnamuonea bure ,kwa kiwango chake cha Elimu ni lazima awe defensive kwa kila anachoambiwa hata kama ni ukweli mtupu.
 
Back
Top Bottom